mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Wana jf natumaini hamjambo.
Kama kichwa cha HabarI kinavyojieleza, wanayanga nao ni wanufaika wakubwa wa mechi za simba vs wageni kutokana na sababu zifuatazo ;
1.simba inapocheza na timu za nje , Yanga hupata wasaa wa kuwafahamu wachezaji wenye uwezo wa timu hizo na hatimaye kuwasajili. Mf. Kisinda , Yakuba , Djuma n.k . Vinginevyo wangewajulia wapi? Sasa hivi wanamuwania Azizi Ki
2.Kuna Mashabiki wa Yanga wanamiliki vibandaumiza.Siku za mechi huingiza vipato kutokana na watazamaji wanaoingia katika vibanda hivyo kuangalia mpira.
3.Kuna Mashabiki wa Yanga ni bodaboda na madereva wa taxii . Siku za mechi hufanya safari za kuwapeleka Mashabiki uwanjani kushuhudia mechi hizo na hujiingizia kipato.
4.Mashabiki wa Yanga ni mamantilie , wauza mchicha n.k.
Siku za mechi wageni toka mikoani hupata chakula kwa mamantilie hao na hivyo mamantilie hujipatia kipato chao.
Malizia faida nyingine unazozifahamu wewe wanazozipata Wana jangwani hao Kupitia hizi mechi za kimataifa za simba.
Kama kichwa cha HabarI kinavyojieleza, wanayanga nao ni wanufaika wakubwa wa mechi za simba vs wageni kutokana na sababu zifuatazo ;
1.simba inapocheza na timu za nje , Yanga hupata wasaa wa kuwafahamu wachezaji wenye uwezo wa timu hizo na hatimaye kuwasajili. Mf. Kisinda , Yakuba , Djuma n.k . Vinginevyo wangewajulia wapi? Sasa hivi wanamuwania Azizi Ki
2.Kuna Mashabiki wa Yanga wanamiliki vibandaumiza.Siku za mechi huingiza vipato kutokana na watazamaji wanaoingia katika vibanda hivyo kuangalia mpira.
3.Kuna Mashabiki wa Yanga ni bodaboda na madereva wa taxii . Siku za mechi hufanya safari za kuwapeleka Mashabiki uwanjani kushuhudia mechi hizo na hujiingizia kipato.
4.Mashabiki wa Yanga ni mamantilie , wauza mchicha n.k.
Siku za mechi wageni toka mikoani hupata chakula kwa mamantilie hao na hivyo mamantilie hujipatia kipato chao.
Malizia faida nyingine unazozifahamu wewe wanazozipata Wana jangwani hao Kupitia hizi mechi za kimataifa za simba.