mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Kama nyie mwiko ulivunjikia matakoniTulieni mbumbumbu fc msihangaike sindano itavunjikia takoni.
Si ndiyo hapo sasa! Yaani Zamalek waache kuchukua wachezaji vijana kama Onyango, Meddie Kagere, Erasto Nyoni, John Boko, Pascal Wawa! Wamsajili mchezaji mzee kama Yacouba Sogne!!!Thubutu, Zamaleck hawachukuagi viwete wewe! Yanga wanatengeneza kiki tu, unawezaje uza vizee kwa waarabu nani kawaambia Zamaleck wanachukua skrepa?
Mwanariadha anaondoka [emoji23][emoji23]Eti Yanga nao wanasema kuwaa wamepokea ofa za kuwahusu
Tuisila kisinda kwenda FAR Rabat
Yakuba kwenda zamalek
Mukoko kwenda zamalek
Unadhani ni kwelii zamalek wanamtaka Yacouba?
SijakuelewaIkangaaππ
Juma Ikangaa mwanariadha mstaafu.Sijakuelewa
Aahhh sawa sawaJuma Ikangaa mwanariadha mstaafu.