Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
E bhana kinyundo [emoji375][emoji4][emoji2960]Na wewe bebwaa
Wewe ni kinyesi na ubongo wako umejaa fungus na hutakuja kupona mileleNinaangalia jinsi mnavyobebwa mechi ya leo. Mnacheza faulo refa anapeta, mnacheza dangerous play mnabembelezwa kwa kadi ya njano, wapinzani wanazuiwa kushambulia kwa off side za mchongo.
Jitahidini mchukue ubingwa ili vile vinjiti vyetu viendelee kuchonga.
Hata mama yako alicheza dengarous play na wewe ukazaliwa. Tuliza kipeoNinaangalia jinsi mnavyobebwa mechi ya leo. Mnacheza faulo refa anapeta, mnacheza dangerous play mnabembelezwa kwa kadi ya njano, wapinzani wanazuiwa kushambulia kwa off side za mchongo.
Jitahidini mchukue ubingwa ili vile vinjiti vyetu viendelee kuchonga.
TolekaMilioni 10 kibindoni.
Umeongea vizuri, ila kwenye laana hapo itakuwa kwenye ukoo wenu.Kweli ngozi nyeusi tumelaaniwa
Ss walipo bebwa ni wapi?
Ttzo ni hamkutegemea km Yanga wanaweza kugeuza kibao cha kwa Mkapa hatoki mtu
Msema ukweli ni kipenzi cha Mungu. umepata thawabu kwa kusema ukweli huu.Mimi sio shabiki wa mpira.
Ila wewe ni kati ya mashabiki waliopungukiwa akili ambao Simba ikishinda wanatafuta sababu ili ionekane mbovu wakati huo huo Yanga wakishinda wanaonekana wameshinda kwasababu ambazo hazina mashiko.
Mashabiki wa Simba na Yanga jitahidi kuwa na uwezo wa kufikiri kidogo.
Hata nyinyi mbona tumewahonga Sana zaidi ya waamuzi CUF ndio maana hamjapata ushindi dhidi yetu miaka kadhaa sasaNinaangalia jinsi mnavyobebwa mechi ya leo. Mnacheza faulo refa anapeta, mnacheza dangerous play mnabembelezwa kwa kadi ya njano, wapinzani wanazuiwa kushambulia kwa off side za mchongo.
Jitahidini mchukue ubingwa ili vile vinjiti vyetu viendelee kuchonga.
ukiandika kama hivi huwa unapata faida gani haswa? ukiambiwa uthibitishe utaweza?Ninaangalia jinsi mnavyobebwa mechi ya leo. Mnacheza faulo refa anapeta, mnacheza dangerous play mnabembelezwa kwa kadi ya njano, wapinzani wanazuiwa kushambulia kwa off side za mchongo.
Jitahidini mchukue ubingwa ili vile vinjiti vyetu viendelee kuchonga.