Huyu hapana aisee , bora minziro arudi
Kwahyo wewe umeona sisi wananjilinji linatufaa hilo galasa sio?Makapu bora aachwe asajiliwe huko Nanjilinji
Said Mohamed ni shati mechi moja ya cosafa isikudanganyeYanga ukuta ni pasua kichwa. Mcameroon na Mnigeria hawasomeki kabisa, Yondani na Canavaro ni uchochoro uliochangiwa na umri plus majeraha. Hata golikipa labda awe Kakolanya, huyu Mcameroon wa Lyon, Youthe Rostand nimemuangalia katika mechi kadhaa, silaha yake kubwa ni kujiamini na utulivu, lakini si mkamataji mzuri wa mipira, anatema mipira mingi. Naweza kumfananisha na Ivo Mapunda. Akikutana na washambuliaji waliomsoma vizuri, mmoja atakuwa anaachia mkwaju halafu mwingine anaukimbizia ili kwenda kumalizia mpira uliotemwa. Yanga hawakuwa na sababu ya kuzembea hadi Said Mohamed akatua Simba wakati alikuwa yupo yupo tu
Ana unafuu kuliko Rostand, kwa hiyo badala ya kusajili kipa mgeni heri kusajili mzawa ili nafasi hiyo itumiwe kuwasajili wachezaji wa nafasi nyingine. Sema tu Yanga haipendi kumrudisha Said Mohamed kwani katika kile kipigo cha mabao 5-0, mabao manne kati ya hayo matano Said Mohamed alikuwa langoniSaid Mohamed ni shati mechi moja ya cosafa isikudanganye
Yule Dogo ni mzuri nafkir akienda timu kama ndanda atacheza sana.Makapu bora aachwe asajiliwe huko Nanjilinji
Hivi kumbe yeye ndo alikuwa golini??, bora aende huko.Ana unafuu kuliko Rostand, kwa hiyo badala ya kusajili kipa mgeni heri kusajili mzawa ili nafasi hiyo itumiwe kuwasajili wachezaji wa nafasi nyingine. Sema tu Yanga haipendi kumrudisha Said Mohamed kwani katika kile kipigo cha mabao 5-0, mabao manne kati ya hayo matano Said Mohamed alikuwa langoni
Kwa beki hasa ya kushoto inanivuruga kweli yaani haji mwinyi.Yanga ukuta ni pasua kichwa. Mcameroon na Mnigeria hawasomeki kabisa, Yondani na Canavaro ni uchochoro uliochangiwa na umri plus majeraha. Hata golikipa labda awe Kakolanya, huyu Mcameroon wa Lyon, Youthe Rostand nimemuangalia katika mechi kadhaa, silaha yake kubwa ni kujiamini na utulivu, lakini si mkamataji mzuri wa mipira, anatema mipira mingi. Naweza kumfananisha na Ivo Mapunda. Akikutana na washambuliaji waliomsoma vizuri, mmoja atakuwa anaachia mkwaju halafu mwingine anaukimbizia ili kwenda kumalizia mpira uliotemwa. Yanga hawakuwa na sababu ya kuzembea hadi Said Mohamed akatua Simba wakati alikuwa yupo yupo tu
Ha ha ha ha ,ila usife levo za kuong'oa viti
Yule Dogo ni mzuri nafkir akienda timu kama ndanda atacheza sana.
Kumbuka Saidi makapu ni taifa stars maboresho,hivyo angalia alikotokeaSi ndo kawaida yenu kuuwa vipaji vya watoto watu ,mnawarundika halafu hamuwatumii hadi viwango vinaisha.
Ni tamaa zao lakini ,watajijua!
Kumbuka Saidi makapu ni taifa stars maboresho,hivyo angalia alikotokea
Yule yupo kwenye training bado umri unaruhusuNi sawa tu na huyo dogo kipa wa Serengeti asipojiongeza ataishia kupiga selfie tu kwenye mazoezi,maana sioni mechi za kupangwa pale
Yeah, Berko alifungwa la kwanza lakini hakuendelea, akatoka na kuingia NdudaHivi kumbe yeye ndo alikuwa golini??, bora aende huko.
Makapu hamna kituSi ndo kawaida yenu kuuwa vipaji vya watoto watu ,mnawarundika halafu hamuwatumii hadi viwango vinaisha.
Ni tamaa zao lakini ,watajijua!