Yanga nayo ina Historia yake Klabu Bingwa, msiidharau

Yanga nayo ina Historia yake Klabu Bingwa, msiidharau

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Katika Historia ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, Yanga Ina Historia yake mwanana ambayo Simba haijawahi kuifikia.

Kwenye matokeo ya kufunga na kufungwa magoli mengi kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Yanga nayo imo.

Kwa mujibu wa taarifa za CAF, mwaka 1998 Yanga ilifungwa magoli 6-0 na Klabu ya Raja CA ya Morocco.

Kwa ivo Yanga wasibezwe na wao kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, wana rekodi yao.

IMG-20250119-WA0004.jpg
 
Katika Historia ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, Yanga Ina Historia yake mwanana ambayo Simba haijawahi kuifikia.

Kwenye matokeo ya kufunga na kufungwa magoli mengi kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Yanga nayo imo.

Kwa mujibu wa taarifa za CAF, mwaka 1998 Yanga ilifungwa magoli 6-0 na Klabu ya Raja CA ya Tunisia.

Kwa ivo Yanga wasibezwe na wao kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, wana rekodi yao.

View attachment 3205928
RAJA CA ni ya Casablanca, Morocco! Rekebisha tafadhali.
 
Katika Historia ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, Yanga Ina Historia yake mwanana ambayo Simba haijawahi kuifikia.

Kwenye matokeo ya kufunga na kufungwa magoli mengi kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Yanga nayo imo.

Kwa mujibu wa taarifa za CAF, mwaka 1998 Yanga ilifungwa magoli 6-0 na Klabu ya Raja CA ya Morocco.

Kwa ivo Yanga wasibezwe na wao kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, wana rekodi yao.

View attachment 3205928
Nice kujipa tu faraja lakini
 
Back
Top Bottom