kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Hakuna timu nzuri kwasasa East Africa zaidi ya yanga hii. Watu wengi watanibishia kwasababu ya ushabiki wao
Lakini naomba ni waambie kitu. Mwaka 2022 niliwahi kusema Tanzania wanasubiri yanga wajue kucheza michezo ya kimataifa ili wawaletee kombe
Nilisema siku Yanga wakijua kucheza michezo ya kimataifa usitegemee tena kuwa watarudi nyuma.
Na tayari wamepata ufunguo wa kucheza michezo hii ya kimataifa my friend.
Msimu ujao, ukiona Yanga wamebahatika kucheza hatua ya makundi club bingwa ([emoji1787][emoji28][emoji22]) mmmmmm
Nisimalize maneno yote
Acha watajionea wenyewe
Lakini naomba ni waambie kitu. Mwaka 2022 niliwahi kusema Tanzania wanasubiri yanga wajue kucheza michezo ya kimataifa ili wawaletee kombe
Nilisema siku Yanga wakijua kucheza michezo ya kimataifa usitegemee tena kuwa watarudi nyuma.
Na tayari wamepata ufunguo wa kucheza michezo hii ya kimataifa my friend.
Msimu ujao, ukiona Yanga wamebahatika kucheza hatua ya makundi club bingwa ([emoji1787][emoji28][emoji22]) mmmmmm
Nisimalize maneno yote
Acha watajionea wenyewe