Yanga ndio klabu pekee kutoka Tanzania imewai kupata ushindi kwenye nchi za kiarabu hivi karibuni ndani ya dk 90 kama ipo nyingine tutajie!

Yanga ndio klabu pekee kutoka Tanzania imewai kupata ushindi kwenye nchi za kiarabu hivi karibuni ndani ya dk 90 kama ipo nyingine tutajie!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Ni Yanga pekee imefanya hivyo kuondoka na ushindi kwenye ardhi ya waarabu Tena kwa swaga!

Iliwachapa Club African ya Tunisia goli 1 kwa mtungi kisha ikawachapa USM Algiers goli 1 kwa mtungi nyumbani kwao Algeria!

Tukumbuke kushinda ugenini ni jambo Moja na kushinda kwenye nchi za kiarabu ni jambo jingine,,ni mtihani kwelikweli kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!

Tunawekana sawa maana Kuna magenge Fulani yanajizima data na kushinda kuelewa kwamba class ni permanent but form is temporary ivyo Yanga isichukuliwe poa poa kwa kuteleza mechi 3 aiondoi class waliyonayo na quality waliyonayo watarudi kwa kishindo hivi KARIBUNI!
 
Ni yanga pekee imefanya hivyo kuondoka na ushindi kwenye ardhi ya waarabu Tena kwa swaga!
Iliwachapa Club African ya Tunisia goli 1 kwa mtungi kisha ikawachapa USM Algiers goli 1 kwa mtungi nyumbani kwao Algeria!
Tukumbuke kushinda ugenini ni jambo Moja na kushinda kwenye nchi za kiarabu ni jambo jingine,,ni mtihani kwelikweli kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
Tunawekana sawa maana Kuna magenge Fulani yanajizima data na kushinda kuelewa kwamba class ni permanent but form is temporary ivyo yanga isichukuliwe poa poa kwa kuteleza mechi 3 aiondoi class waliyonayo na quality waliyonayo watarudi kwa kishindo hivi KARIBUNI!
KWA HIYO!
 
Simba ishashinda ugenini kwa AS Vita ya moto kwenye CAF champions na ikarudi kujitafuta sembuse kushinda kwa hao vilaza wa kiarabu kwenye shirikisho ndio useme eti class is pemarnent. Wachezaji ushuka viwango na kuchoka na ndio maana klabu kila msimu zinanunua wachezaji , hivyo hakuna guarantee ya uto kushinda hiyo mechi eti kisa iliwahi kushinda uarabuni.
 
Simba ishashinda ugenini kwa AS Vita ya moto kwenye CAF champions na ikarudi kujitafuta sembuse kushinda kwa hao vilaza wa kiarabu kwenye shirikisho ndio useme eti class is pemarnent. Wachezaji ushuka viwango na kuchoka na ndio maana klabu kila msimu zinanunua wachezaji , hivyo hakuna guarantee ya uto kushinda hiyo mechi eti kisa iliwahi kushinda uarabuni.
Well said.
 
Ni yanga pekee imefanya hivyo kuondoka na ushindi kwenye ardhi ya waarabu Tena kwa swaga!
Iliwachapa Club African ya Tunisia goli 1 kwa mtungi kisha ikawachapa USM Algiers goli 1 kwa mtungi nyumbani kwao Algeria!
Tukumbuke kushinda ugenini ni jambo Moja na kushinda kwenye nchi za kiarabu ni jambo jingine,,ni mtihani kwelikweli kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
Tunawekana sawa maana Kuna magenge Fulani yanajizima data na kushinda kuelewa kwamba class ni permanent but form is temporary ivyo yanga isichukuliwe poa poa kwa kuteleza mechi 3 aiondoi class waliyonayo na quality waliyonayo watarudi kwa kishindo hivi KARIBUNI!
Itoshe tu kusema "ushamba ni mzigo"
 
Ni yanga pekee imefanya hivyo kuondoka na ushindi kwenye ardhi ya waarabu Tena kwa swaga!
Iliwachapa Club African ya Tunisia goli 1 kwa mtungi kisha ikawachapa USM Algiers goli 1 kwa mtungi nyumbani kwao Algeria!
Tukumbuke kushinda ugenini ni jambo Moja na kushinda kwenye nchi za kiarabu ni jambo jingine,,ni mtihani kwelikweli kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
Tunawekana sawa maana Kuna magenge Fulani yanajizima data na kushinda kuelewa kwamba class ni permanent but form is temporary ivyo yanga isichukuliwe poa poa kwa kuteleza mechi 3 aiondoi class waliyonayo na quality waliyonayo watarudi kwa kishindo hivi KARIBUNI!
Ukweli mtupu.
 
Simba ishashinda ugenini kwa AS Vita ya moto kwenye CAF champions na ikarudi kujitafuta sembuse kushinda kwa hao vilaza wa kiarabu kwenye shirikisho ndio useme eti class is pemarnent. Wachezaji ushuka viwango na kuchoka na ndio maana klabu kila msimu zinanunua wachezaji , hivyo hakuna guarantee ya uto kushinda hiyo mechi eti kisa iliwahi kushinda uarabuni.
Umesoma Uzi vizuri ama unataka tuendelee kumpa credit Rage?
 
Kumbe siku za karibuni...
Nilijua hakuna kwny kazi data...
Utajijua mwenyewe sisi tunajua Simba ilimbamiza Zamaleki huko kwao...
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
11. Uchawa
 
Kumbe siku za karibuni...
Nilijua hakuna kwny kazi data...
Utajijua mwenyewe sisi tunajua Simba ilimbamiza Zamaleki huko kwao...
Ilimbamiza zamalek ndani ya mda Gani? Soma Uzi vizuri ulimtoa zamalek nje ya dk 90 kwa mikwaju ya penalty,,
 
This time ndio mtaitafuta robot fainali hadi jasho la mpalange liwatoke. Na zile kauli sijui mwakarobo ndio zinaenda kuzika rasmi
 
Wakati Simba anamfunga El merreikh kwao Sudan ulikuwa hujazaliwa......enzi za akina Nteze John, Hussein Masha.......

Au unajua vizuri ndio maana ukaweka 'condition' kwenye kichwa cha habari cha andiko lako.
 
Wakati Simba anamfunga El merreikh kwao Sudan ulikuwa hujazaliwa......enzi za akina Nteze John, Hussein Masha.......

Au unajua vizuri ndio maana ukaweka 'condition' kwenye kichwa cha habari cha andiko lako.
Ameanza kuishabikia yanga ujio wa kisinda na hersi miaka hiyo unayoisema alikuwa bado kiunoni!
 
Ni Yanga pekee imefanya hivyo kuondoka na ushindi kwenye ardhi ya waarabu Tena kwa swaga!

Iliwachapa Club African ya Tunisia goli 1 kwa mtungi kisha ikawachapa USM Algiers goli 1 kwa mtungi nyumbani kwao Algeria!

Tukumbuke kushinda ugenini ni jambo Moja na kushinda kwenye nchi za kiarabu ni jambo jingine,,ni mtihani kwelikweli kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!

Tunawekana sawa maana Kuna magenge Fulani yanajizima data na kushinda kuelewa kwamba class ni permanent but form is temporary ivyo Yanga isichukuliwe poa poa kwa kuteleza mechi 3 aiondoi class waliyonayo na quality waliyonayo watarudi kwa kishindo hivi KARIBUNI!
Watabisha.
 
Wakati Simba anamfunga El merreikh kwao Sudan ulikuwa hujazaliwa......enzi za akina Nteze John, Hussein Masha.......

Au unajua vizuri ndio maana ukaweka 'condition' kwenye kichwa cha habari cha andiko lako.
Nafikiri umelielewa bandiko linasemaje isipokuwa unajitoa ufahamu,,ndio maana mnaferi sana mitihani
 
Ni Yanga pekee imefanya hivyo kuondoka na ushindi kwenye ardhi ya waarabu Tena kwa swaga!

Iliwachapa Club African ya Tunisia goli 1 kwa mtungi kisha ikawachapa USM Algiers goli 1 kwa mtungi nyumbani kwao Algeria!

Tukumbuke kushinda ugenini ni jambo Moja na kushinda kwenye nchi za kiarabu ni jambo jingine,,ni mtihani kwelikweli kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!

Tunawekana sawa maana Kuna magenge Fulani yanajizima data na kushinda kuelewa kwamba class ni permanent but form is temporary ivyo Yanga isichukuliwe poa poa kwa kuteleza mechi 3 aiondoi class waliyonayo na quality waliyonayo watarudi kwa kishindo hivi KARIBUNI!
Sjaona point ya mhimu ni ipi kwan, huu ndio ushabiki mbweha
 
Back
Top Bottom