Yanga ndio Timu Bora Kwa sasa ukanda wa East Africa+DRC

Yanga ndio Timu Bora Kwa sasa ukanda wa East Africa+DRC

Lete timu yako tukuoneshe ubora wa Yanga

JKU umepata shida kumfunga, JAMHURI tumemfunga as much as tulivowafunga, injinia akapokea simu ya mwinyi kuwa inatosha

Kama unaona Jamhuri ni underdog, wewe pia tulikulala goli tano

Na hata ukilete timu yako tena , tunakulala goli hizo hizo na huna cha kufanya
Ukiambiwa uweke nyumba ukiwa na uhakika uto kuifunga simba sidhani kama utaweka. Hapa tunajua unajiandikia tu kiutopolo na kishabiki maandazi ila akili zikikurudia utaamini mpira ni dk 90. Simba anaifunga wydad na inaweza kuifunga belouizdad iliyokuchabanga 3-0 halafu eti ujihakikishie uto haiwezi kufungwa na simba.Jidanganye uto.

Halafu CAF shirikisho ni mashindano ya timu za kati. Hakuna timu ya maana inatamani kushiriki hayo mashindano. Ukiona akina mamelod, al ahly, wydad, mazembe wakishiriki hayo mashindano ujue wameshuka viwango. Uto hakuna cha maana ilichoachieve kulinganisha na simba kimataifa.

Uto unajiona bora kuliko Mazembe kisa mliifunga msimu uliopita wakati mazembe kwenye group gumu caf amevuna points nyinyi kuliko nyinyi. Uto unaishi kwa kukariri.
 
Endelea kuwa na denial . Mmecheza shirikisho mara ngapi? Mmefika hata nusu for the past 40 yrs ?

Sisi tumefika fainal.

After all naona denial kubwa, leta timu uwanjani tuamue nani

Tupo kwenye serious business, deep down you have to accept that
Na wakijichanganya Zenji mara Paap hawa hapa.

Tutapandisha mnara tena
 
Hivi Tanzania, Afrika mashariki na kati kuna timu yoyote Bora kuizidi Simba ambayo ni ya 7 kwa ubora Afrika kulingana na point za kimashindano?

Mihemko ya utopolo united ni tatizo sana, kwa Tanzania tunajuana sisi ila kwa nje Simba bado powerhouse ya football Afrika mashariki na kati.
 
Hivi Tanzania, Afrika mashariki na kati kuna timu yoyote Bora kuizidi Simba ambayo ni ya 7 kwa ubora Afrika kulingana na point za kimashindano?

Mihemko ya utopolo united ni tatizo sana, kwa Tanzania tunajuana sisi ila kwa nje Simba bado powerhouse ya football Afrika mashariki na kati.
Anachotakiwa kujua ni kwamba timu inakuwa bora kwenye ukanda, bara au duniani kutokana na hiyo timu kufanya vizuri kwenye mashindano makubwa kuzidi timu zingine. Kwa Afrika timu bora ya taifa ni Morocco pamoja na kwamba Senegal ndio bingwa wa Afcon hii ni kutokana na kwamba Morocco alifanya vizuri zaidi kwenye mashindano makubwa, world cup.

Sasa hawa wanajiita wao ni timu bora kwa sasa huu ukanda lakini hakuna chochote walichowazidi klabu zingine kwenye mashindano makubwa ya CAF. Hakika uto ni uto.
 
Nimawafuatilia yanga kwa muda sasa ila nawaona wakicheza jihad tu.

Ila technically hakuna kitu mule.
 
FIFA na CAF wanabisha. Kila wakitoa orodha ya timu bora Afrika zinazotakiwa kushiriki mashindano yao maalum, Yanga haipo ila makolo wapo. Halafu Hersi amekuwa Rais wa vilabu vyote Afrika, cha ajabu ameiteua Simba kuwa ni bora mbele ya Yanga kushiriki michuano ya vilabu bora vya duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatariiiiiiii
 
Unajua maana ya timu bora?ligi ya NBC inatambulika Africa mashariki na kati?Jibu ni kwamba NBC haitambuliki popote zaidi ya kwa mtogole na buza,kuwa timu bora sio kazi rahisi...au mnadanganywa na hawa waandishi wa habari makanjanja wenye njaa kali wanaopewa laptop ili kuipa airtime timu ndogo kama yanga.

Sikia, timu bora Afrika mashariki na kati ni timu ambayo imefanya vizuri katika ligi za kimataifa kwa muda mrefu katika ligi ya club bingwa..na timu hiyo ni SIMBA SC
Hii yanga ndio imeingia juzi hatua ya makundi baada ya kujitafuta kwa miaka 28,wakati Simba sc inacheza kila siku club bingwa miaka yote tokea nchi ipate uhuru..Simba mbali na kucheza makundi ya club bingwa sana,imefika robo mara tano...imefika nusu fainal ya club bingwa mwaka 1974,kwenye ile kombe la loser(shirikisho)Simba sc imecheza fainal 1993..Rais wako Mama Samia aliwathibitishia juzi mlipo cheza final ya shirikisho,akawaambia mlipo wenzenu walifika siku nyingi.

Ukubwa wa yanga ipo wap?au kwenye hizi ligi za ndani zinazochezeshwa na waamuzi wabovu ambao huipa matokeo timu mbovu kwenye ligi ya NBC?

Na nakuhakikishia yanga haiwezi kufika robo club bingwa mtaishia makundi nipo nimekaa hapa.

Na mechi ambayo yanga imeshinda juzi dhidi ya medeana ndio mechi ya kwanza yanga kushinda katika ligi ya club bingwa tokea kuanzishwa kwa yanga na kuumbwa kwa Dunia..na medeana ni ya 59 kwa ubora bara ya Afrika..just image

Simba imecheza Super ligi juzi ligi ambayo zinacheza timu 8 bora barani Afrika..nalo hilo mkuliona?ukubwa Simba huo.

Simba sc imechaguliwa na FIFA(FIFA ni shirika la mpira wa miguu duniani) kuwania kombe la Dunia 2025 na TFF,CUF na FIFA kwenye mafile na takwimu zao inayonyesha Simba sc ndio Timu kubwa na bora na ya kwanza Tanzania,Afrika mashabiki na kati na ni timu namba 7 kwa ubora na ukubwa barani Afrika ..imethinitishwa..hii yanga ya waandishi.makanjanja ipo wap?

Juzi Ahy Ahy ilipo tua Tanzania waandishi makanjanja wakaenda kuwahoji kwa kutumia maswali ya mtego ili kufanyajustification ya upumbavu na ujinga wao..ila muarabu aliyeandikwa katika vitabu vyote vya dini akawaambia Simba sc ni timu kubwa barani Afrika na namba moja Tanzania.Hiyo yanga hawaijui ila wanahisi ni namba 2 Tanzania.
PUMBA.!
 
Back
Top Bottom