Yanga ndio timu mbovu kuliko timu zote Tanzania kwa sasa

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Usipoifunga yanga utaifunga timu gani?

Yanga(matunguli fc)
Mechi : 2
Yanga 0 azam 1
Yanga 1 tabora utd 3
Points:0
Magoli ya kufunga:1
Magoli ya kufungwa:4
Msimao : no #2(hadi mwezi wa 3 watakuwa wa10)

Simba
Mechi : 2
Mashujaa 0 Simba 1
Simba 4 kmc 0
Points : 6
Magoli ya kufunga : 5
Magoli ya kufungwa: 0
Msimamo : no #1

Al hilal mshindwe nyinyi tu kuwafunga vibonde hawa. Wameshajifia hawa wanavuja mbele na nyuma. Pigeni mizoga hii.
 
Ni ajabu timu mbovu kuliko zote inashika nafasi ya pili kwa tofauti ya point moja. Ni wazi aliyepo juu yake na walio chini ya Yanga watakuwa ndio wabovu zaidi yake.
 
Kampeni ya Ubaya Ubwela iendelee bila kukoma. WanaSimba onyesheni Ubwela wenu
 
Hili jukwaa linasajili mpaka matikiti maji.
 
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…