fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
wamelipia gharama za malazi na kiwanja sasa?Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Avic town ni mali ya YANGA..???Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wako geza ulolePicha au video iko wapi ikionesha Galaxy wako Avic town?
Mbumbumbu unafikiri wanalijua hili, wao ni midomo tu ndio wanaweza.Haya naajabu mengine yaani timu imecheza michezo saba ya Kimataifa na imeshinda mchezo mmoja tu ila ajabu Yanga analaumiwa. Hivi ni kweli kwenye michezo yote sita Yanga alikuwa anawahujumu. Nyie endeleeni tu kuilaumu Yanga badala kuimarisha kikosi chenu.
Chukua ziro lako huko Misri..Mbumbumbu Fc acheni propaganda za kipuuzi, mnajitisha wenyewe.
Kama ao Galaxy mnawaogopa basi subirini Leo tumalize mechi tunarudi na kesho tutawasaidia kucheza sisi mmpate ushindi na soka mardadii.
Wale TRA mmecheza nao Chamazi ikija ligi mnakimbia jiji yaani mpo full mchecheto.
kwani Avici n kwa Yanga au unajizima data?Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmepata kisingizio cha keshoKama unamuona mtoa mada ni muongo kumbuka haya matukio (1) mashabiki wa uto kuwapokea airport wapinzani wa simba (2) Uto kuwaambia wapinzani wa simba kuwa simba inapuliza sumu kwenye vyumba
Uto wanaweza kweli kuwasaidia wapinzani maana yana roho mbaya ya kiukweli kweli.
Hao wanapigwa kama wale mliokuwa mnawapokea uwanja wa ndegeMmepata kisingizio cha kesho
Sijajua hili likoje lakini ninachojua ukiwa na majini automatically unakua yanga hata km hautakiHivi ukiwa shabiki wa Simba ni lazima uwe hauna akili?
Bila picha mkuuNashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu ni wajinga sanaNashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye life huwezi toboa kwa kuweka chuki za hivi kwa jiran yako mipango hiyo hata wangeifnya miaka2 wasingetoboaNashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimashabiki wote wa Yanga ambao hawana akili kasoro Mhe. Kikwete na Mzee Sunday Manara tu. Haijalishi ni nani na ana nafasi gani, as long as ni shabiki wa Yanga ni punguaniHivi ukiwa shabiki wa Simba ni lazima uwe hauna akili?