mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Wakimataifa juzi wamebamizwa na Kaliobangi kutoka kenya kwa bao 3-2 Wakaugeuza Uwanja wa taifa kuwa Jukwaa la Ngumi.Ndio maana Fifa inataka neno sports lisitumike badala yake kuwe na neno Football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app