YANGA NGUMI ZA NINI TENA ?

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Wakimataifa juzi wamebamizwa na Kaliobangi kutoka kenya kwa bao 3-2 Wakaugeuza Uwanja wa taifa kuwa Jukwaa la Ngumi.Ndio maana Fifa inataka neno sports lisitumike badala yake kuwe na neno Football.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ya Wananchi hiyo,
Wacha ifanye inavyopenda.
Walishampiga vichwa refa na waliangaliwa tu, sembuse wachezaji wenzao.
Walisha wapiga Azam, Prison na sasa wanahamishia vipigo kwa timu za nje ya nchi.
Ili watu wajue kuwa ni marufuku kuifunga Yanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Damu huwa inachemka uwanjani kujizuia ni muhimu
 
Jean Marc Makusu

Sent from Gamboshi air line
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…