mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Mbona jana nanyi mlipigana mpaka mchezaji wenu kala umemeWakimataifa juzi wamebamizwa na Kaliobangi kutoka kenya kwa bao 3-2 Wakaugeuza Uwanja wa taifa kuwa Jukwaa la Ngumi.Ndio maana Fifa inataka neno sports lisitumike badala yake kuwe na neno Football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukuona ngumi ya Kotei unaona za Yanga tu?Wakimataifa juzi wamebamizwa na Kaliobangi kutoka kenya kwa bao 3-2 Wakaugeuza Uwanja wa taifa kuwa Jukwaa la Ngumi.Ndio maana Fifa inataka neno sports lisitumike badala yake kuwe na neno Football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Nembo yenu inaonyesha ngumiHukuona ngumi ya Kotei unaona za Yanga tu?
Ni Sports siyo Football Club