Yanga ni bora kuwa maskini jeuri kuliko haya

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Your browser is not able to display this video.

Huyu alituambia Shishimbe amesajiliwa tayari leo hii imeonekana kumbe hawakumsajili na wameshindwana.
 
Hawa Utopolo bora hata wangemrudisha Maji awe mdhamini sio hawa GSM wahuni tu,
 
View attachment 1521358
Huyu alituambia Shishimbe amesajiliwa tayari leo hii imeonekana kumbe hawakumsajili na wameshindwana.
Mkuu haikusemwa kasajiliwa. Ilisemwa wamefikia agreement kwenye terms za mkataba.
Papy alitaka aongezewe dau liwe kubwa sana.
Katika mvutano huo, vitu vitatu vimetokea. Moja, kuna mbadala bora zaidi.
Pili, imeonekana ana tatizo la goti.
Tatu, yale mawasiliano yake na Simba yaliyompa kiburi, yamepoa kiana.

Bila shaka ataenda Simba lakini kama ilivyokuwa kwa Niyo, wakijua Yanga wame give up, hawatampa hela ambayo kaikataa Yanga. Itakuwa pungufu.
 
Mkuu nimeweka video,msikilize tena Hersi. fanya hivyo sasa
 
Mkuu nimeweka video,msikilize tena Hersi. fanya hivyo sasa
Mkuu, hizo nyingine ni siasa za mpira. Kauli iliyokuwa inasemwa sana ni kufikia makubaliano. Hersi alikuwa anajua Simba wanamnyatia. Post au insinuation za Haji.
Watu wengi wa Yanga walijua bado na Papy amekuwa akisema hivyo muda mwingi
 
Nyie ndo maana Luc aliwambia mnabweka ka mbwa.
Hivi umesikia hiyo video?
 
Mkuu, hizo nyingine ni siasa za mpira. Kauli iliyokuwa inasemwa sana ni kufikia makubaliano. Hersi alikuwa anajua Simba wanamnyatia. Post au insinuation za Haji.
Watu wengi wa Yanga walijua bado na Papy amekuwa akisema hivyo muda mwingi
Ndo siasa mlizonazo Utopolo za kusema deal done wakati hamjamsainisha mkataba mchezaji.
Sasa alikua anamridhisha nani?
Luc analaumiwa tu kwa aliyoyasema.
Mna haki kuitwa Utopolo fc aka Manyani fc au Mambwa fc
 
Mkuu, hizo nyingine ni siasa za mpira. Kauli iliyokuwa inasemwa sana ni kufikia makubaliano. Hersi alikuwa anajua Simba wanamnyatia. Post au insinuation za Haji.
Watu wengi wa Yanga walijua bado na Papy amekuwa akisema hivyo muda mwingi
duuh mkuu hamuogopi kuonekana matapeli. kwa vipi tuwaamini kwenye sakata la Morison kama mwendo wetu ni wa siasa?
 
Simba ya sasa hivi hawawezi kumchukua Shishimbi ng'o, hana kiwango cha Mkude wala Fraga, na kama Simba itahitaji kiungo mkabaji basi itasajili wa kiwango cha juu zaidi.
 
Simba ya sasa hivi hawawezi kumchukua Shishimbi ng'o, hana kiwango cha Mkude wala Fraga, na kama Simba itahitaji kiungo mkabaji basi itasajili wa kiwango cha juu zaidi.
kumchukua itakuwa ukosa akilo. hao viungo wanatosha sana, kama ipo haja basi wakachukue jitu hatari huku nje
 
Basi mwambieni asisaini kabisa huo mkataba. Kwanza hana ubora kivile zaidi ya kukamia mechi za simba tu, mchezaji gani anapoteza pasi vile
 
Basi mwambieni asisaini kabisa huo mkataba. Kwanza hana ubora kivile zaidi ya kukamia mechi za simba tu, mchezaji gani anapoteza pasi vile
Shoka moja mbuyu chini ahahaha Amna bana anajua sema majeraha nayo Yamemgharimu
 
Yaan wanatuchanganya hatarii, hata ishu ya Morrison ukute ni kweli hana mkataba
Kama hana hakuna haja ya kelele. Aondoke zake kiulaini tu.
Kelele zote zinaashiria kitu kipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…