Yanga ni club ya maamuzi magumu

Yanga ni club ya maamuzi magumu

Maamuzi ya hovyo ambayo hayafuati ethics we ndio unaita magumu?

Maamuzi magumu yanakuwa ni yale yanatolewa rational na sio kwa ego ku prove kuwa upo kwenye high power ya kuweza kuamua lolote dhidi ya watumishi ambao wako chini yako.
Robatinyo alifukuzwa kwa kufungwa mechi moja tu huyu mbili yapi yalikuwa maamuzi mabaya ?
 
Robatinyo alifukuzwa kwa kufungwa mechi moja tu huyu mbili yapi yalikuwa maamuzi mabaya ?
Hakuna watu wasiokua na akili duniani kama hii misukule ya Mo..
Haya ni madebe matupu mkuu kwenye ubongo pamejaa maji hivyo kitu kinachoitwa kumbukumbu hakipo kwao..
Walimfukuza mzee wa objective football akiwa na wachezaji wanao anguka wenyewe bila kusukumwa na wachezaji wa timu pinzani lakini mzee wa objective football akawa anawapa matokeo tu na hapo anamtegemea Puttin ndio mfungaji wake na kiungo mshumbuliaji mzee wa kujipiga mitama babu Saidoo lakini walimtimua baada ya kufungwa mechi moja tu na Yanga..
Sasa leo mibumbumbu inanyanyua midomo kulaani hili lililofanywa na viongozi mahiri kabisa kwa kweli kuna shingo zina kazi sana kubeba vichwa maji kama hii mimbumbumbu ya Mo..
 
Yanga huwa inadharaulika sana na makocha wa kigeni sijui ni kwa nini. Kuna yule mmoja sijui Emily aliwatemea shombo la kutosha, huyu Gamondi naye alimdharau boss wake hadharani kwa kumrushia mkono. Mambo kama haya huwezi kutaona Simba.
Aliwaita Manyani/Sokwe
 
Back
Top Bottom