Kwa hiyo kama ni makosa ya mwamuzi why tuwablame Yanga?!Hamjahonga,na hakuna aliyesema mmehonga.Inawezekana yaliyotokea ni makosa ya waamuzi wenyewe.
ππππ wanune tu. Na hapo kila mechi wanabadilisha sababu. Nimeona wanasema eti jana tumebebwa. Duuuh.Watanuna sana msimu huu
Hivi upo aiseeee?Yanga tuliipiga mikia fc Kitwe na leo tukadungua Taifa. Raha sana kuishabikia timu ya wananchi japo sijawahi changia chochote zaidi ya kuwaombea ushindi.
Na wasipokua makini tutawapoteza JUMLA JUMLA. ππMikia watapata sana tabu msimu huu
Hivi alikujibu hapa?Kwa hiyo tumehonga?!
Kwa hali hii kuteseka lazima.Kwani mnateseka
Uliona ile mbeleko ya waziwazi mliyobebwa nayo Shadeeya ? Vijana wa Massau Bwire walinyimwa penati ya wazi kabisaMoisemusajiografii na Sesten Zakazaka mmeamka salama? Kwa hali hii sijui kama viporo vyenu vitakuwa salama kweli ππ
Uliangalia mechi yote lakini Shadeeya au kuna nyakati ilibidi uzime TV kwa muda ili pressure isipande? Kama uliangalia hebu sema ukweli wako mbeleko hukuiona? Msema kweli ni mpenzi wa Mungu ujue! CmbMmmh. Mmehamia kwenye mbeleko. Duuh.
Nikiangalia mpaka mwisho ila msisahau kwamba muamuzi naye ni binadamu sio malaika. SawaUliangalia mechi yote lakini Shadeeya au kuna nyakati ilibidi uzime TV kwa muda ili pressure isipande? Kama uliangalia hebu sema ukweli wako mbeleko hukuiona? Msema kweli ni mpenzi wa Mungu ujue! Cmb
Hahahaaa umenichekesha sana ShadeeyaNikiangalia mpaka mwisho ila msisahau kwamba muamuzi naye ni binadamu sio malaika. Sawa
Nipo ndugu, pilika tu huwa zinanitoa humuHivi upo aiseeee?
Wanasema sema au ndio fact yenyewe refa ban inamuhusu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanune tu. Na hapo kila mechi wanabadilisha sababu. Nimeona wanasema eti jana tumebebwa. Duuuh.
Labda bingwa was njaa ila ligi kuu in wenyewe Azam na Simba wanna nafasi kubwa zaidiYanga ni bingwa msimu huu wengine wasindikizaji tuu.
Vip kwani unateseka.Labda bingwa was njaa ila ligi kuu in wenyewe Azam na Simba wanna nafasi kubwa zaidi
Unasema ukweli au unajipa matumaini Kama Mourinho avyosema atamaliza top 4Vip kwani unateseka.
Ukweli ndio huo nimeshasema sasa
Ndiooo. Na hii ndio sababu ulaya kuna VAR. Waweke na huku TZ ili tusimlaumu mwamuzi sababu si malaika yule Ses.Hahahaaa umenichekesha sana Shadeeya
Hapo umekua kama mangi muuza duka. Yeye siku zote akikosea kukurudishia chenji basi ujue kakupunja weye mnunuzi na haiwezi tokea akakosea akuzidishie!
Muamuzi ni binadamu na sio malaika siku zote wakati akiipendelea Yanga tu, si ndio? Hata mechi yenu na Simba siku zile muamuzi alionyesha ubinadamu wake kwa kukataa goli la Msimbaziπ³π³π³