Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Tusiandikie mate wakati wino upo. Tuombe uzima tu ushuhudie Nkana anavyong'olewa. Si unajua Nkana sio Ruvu Shooting? Maandalizi lazima yawe ya uhakika. Hiyo kutufunga 2-1 ni kama kipindi cha kwanza tu na mchezo haujaisha safari hii tukiwaalika kwetu tulipopazoea kwa MchinaHivi wanaobebwa ni wapi mmepewa wiki mbili kujiandaa na Nkana halafu mmepigwa si mgecheza angalau mechi hata moja ikajulikana mnalimbikiza maviporo yasiyo ya lazima (wiki mbili kwa mpira ule) mtasubiri sana hayo maneno hamjayaanza leo umekuwa kama wimbo
Basi tusubiri tuone Sesten.Ni pale mbeleko itakapoanza kuchanika Shadeeya, tena hata kabda ya kuja kwa VAR raundi ya pili ndio mtajua kwamba hiyo nafasi mliyokalia kwa kubebwa kumbe sio yakwenu, ina mwenyewe
Uchawi huuDawa ya Makambo ni kumsababishia injury ya maana itakachomkalisha miezi kama miwili
πππNsona alitokomea kusikojulikana.
Hawalijui hilo.Rejea mechi ya Prisons tulilalamika sana refa alivyotundea kwenye baadhi ya matukio. Mlikaa kimya. Leo kibao kimegeuka mnalalamika. Mnachotakiwa kujua inapokuja kesi ya mwamuzi kuvurunda inabidi sote tuongee Lugha moja kwa mustakabali mwema wa soka la nchi yetu.
Hamna jipya tatizo mna mpira wa Mdomoni wenzenu ni watu wa Action labda mpewe mwezi mzima ndo mtawafunga kwa Foward ya Bocco mtasubiri sana mtakuwa mnagojea tu Penati nawaambia jiandaeni kisaikolojia kufungasha viragoTusiandikie mate wakati wino upo. Tuombe uzima tu ushuhudie Nkana anavyong'olewa. Si unajua Nkana sio Ruvu Shooting? Maandalizi lazima yawe ya uhakika. Hiyo kutufunga 2-1 ni kama kipindi cha kwanza tu na mchezo haujaisha safari hii tukiwaalika kwetu tulipopazoea kwa Mchina
Hawa wanajitoa ufahamu tu. Juzijuzi kipindi Thomas Ulimwengu anakuja Bongo na Tp Mazembe yake walimshangilia balaa leo sisi tunataka kumuunga mkono Kessy na Nkana yake wanatuita sisi sio Wazalendo. Hopeless sana hawa majamaa.Hawalijui hilo.
Ndio uone wanavyotapa tapa.Ikishinda yanga inabebwa Mara upepo umepita Mara bahati imewakuta ....ila ikishinda simba ni uwezo wao hiiiiiiiiiii
Nyie manyaunyau Fc kubalini tu yanga ndo baba yenu muwe mnataka au hamtaki hakuna namna ......kama kubebwa kwani mbeleko zimeisha ombeni mubebwe na nyinyi
πππππππ siku hyo nitawaunga mkono NKANAHawa wanajitoa ufahamu tu. Juzijuzi kipindi Thomas Ulimwengu anakuja Bongo na Tp Mazembe yake walimshangilia balaa leo sisi tunataka kumuunga mkono Kessy na Nkans yake wanatuita sisi sio Wazalendo. Hopeless sana hawa majamaa.
Una matatizoila kiukwel tuache ushabiki mandazi jana refa hakuwa fair, ni kama siku ile ya prison pia hakuwa fair, waamuz wetu wengi bado hawajakomaa kwenye kutoa maamuzi, ingekuwa simba au yanga ndo imefanyiwa kama ruvu jana hakika mashabiki wangeleta vurugu.
Kingine muda bado sana hadi ligi iishe, naona tutunze maneno kdg tuache miemko isiyo na tija.
Kama mimi tu.πππππππ siku hyo nitawaunga mkono NKANA
Hili nalo neno.Kama Yanga anabebwa basi Simba ombeni mpakatwe
ππππUna matatizo
Na kweli Shadeeya tusiandikie mate na wino ungalipo, tuombe uzima kutoka kwa Maulana ili baadae tushuhudie mbivu na mbichiBasi tusubiri tuone Sesten.
Ndio mp*katw*. ππππ³ππ
haya maneno yalianza kabla ya Ligi kuanza mkawa mnasema YANGA hatoshinda mechi hata moja na atashuka daraja sasa mnajisahaurisha simba bwanaaaaaaa (msisijisahurishe kauli zenu za mwanzo ndo zinawashitaki na kuwaponza ) hivyo YANGA lazima tutembee kifua mbele dhidi ya kikosi chenu cha MamilioniNa kw
Na kweli Shadeeya tusiandikie mate na wino ungalipo, tuombe uzima kutoka kwa Maulana ili baadae tushuhudie mbivu na mbichi