Yanga ni kubwa, ndio timu bora Tanzania na ukanda wa CECAFA

Yanga ni kubwa, ndio timu bora Tanzania na ukanda wa CECAFA

Diarra katoka
1000226758.jpg
 
Ukiwa mjinga unaweza kuongea lolote.

Ukiachana na Al Ahly Kuna timu yoyote inayoshiriki huko champions league inayoweza kumzidi Zamalek kwenye ubora?

Leo unatamba ulikuwa champions league na kudharau shirikisho ambalo ndiyo unatambia fainali?

Ukubwa wa Simba SC kimataifa uko juu kuliko Yanga, hii ni fact na siyo opinion.
Mlijiaminisha kuwa mtavuka na kuizidi Simba SC kwenye rank, Kiko wapi? Msijipe ukubwa usio na uhalisia.
 
Africa mashariki jifunze pia kutofautisha jumuia ya Africa mashariki na Afrika mashariki
Jomba kama huelewi mambo kaa kwa kutulia. Unaujua ukanda wa CECAFA? Hapa hatuongelei mambo ya siasa tunazungumzia ukanda wa kimpira.
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Ebu endelea kulala ili upunguze machungu ya kuishia group stage.
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Wacha weee hahahaha
 
Jomba kama huelewi mambo kaa kwa kutulia. Unaujua ukanda wa CECAFA? Hapa hatuongelei mambo ya siasa tunazungumzia ukanda wa kimpira.
Nilimkumbusha mdau aliye uliza mazembe na Al hilal kuwa ni za wapi,je alikuwa akizungumzia ukanda upi Jumuia ya kisiasa na kiuchumi au jumuia ya kisoka.
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Yanga wenye akili wawili tu
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Pole sana Chief.
 
Nilimkumbusha mdau aliye uliza mazembe na Al hilal kuwa ni za wapi,je alikuwa akizungumzia ukanda upi Jumuia ya kisiasa na kiuchumi au jumuia ya kisoka.
Mimi ndie nilieuliza. Naongelea ukanda tu wakisoka. Hilal yupo cecafa same as Yanga. Labda Mazembe tu ndio hayupo.
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
 
Team pekee ukanda huu? Mazembe ni ya wapi mkuu? Hilal ni ya ukanda upi mkuu?
Ameshasema yeye kama shabiki wa Yanga. Sasa wewe unaanzaje kumbishia.

Nasemaje, nikiwa kama shabiki wa utopolo, yanga ndio ‘’kilabu” bora kabisa na namba moja duniani.
 
Yanga ni timu katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki
Ahaa, basi kama iliyokuwa ikishiriki, hesabu zimeshafungwa, kwa sasa icheze ligi tu kama Vital'O.
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Mmeambiwa jaribu kujifunza. Ukubwa wenu ni upo? Umeishia makundi bado unaongea
 

Attachments

  • VID-20250118-WA0018.mp4
    3.7 MB
Back
Top Bottom