Yanga ni timu ya serikali hadi wapewe eneo bure bila utaratibu?

Nafikili umesahau kuwa simba imetoka ndani ya yanga.
Na yanga ina wenyewe
 
Kumbe Yanga Ina share uwanja was Bunju. Asante JK kutufumbua macho.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
kwani anayewapa kasema anawapa eneo la serikali?!?,labda anawapa enoe lake, after all yule ni RC anaweza akatoa eneo kwa shughuli ya uwekezaji. mbona ANGLOGOLD ASHANTI, BARICK walipewa maeneo!!!?, sasa akipewa yanga unaumia nini?!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…