Yanga ni wanyonyaji sana

Yanga ni wanyonyaji sana

Hersi ni wakala wa shetani...hata kama Bacca katoka alikotoka lakini katua klabu kubwa ya Yanga...unampa 1.5 kweli?....
 
Msiwe mnakurupuka kufananisha wachezaji wa ndani na wa kigeni, mchezaji wa kigeni anakuja akiwa tayari na value husika, hawa wachezaji wa ndani wanapanda thamani wakiwa ndani ya club.

Mfano bacca wakati anakuja yanga kutokea KMKM mshahara wa 1.5 ulikua mkubwa kwake na alikua tayari kusaini miaka zaidi ya ile aliyosaini. Sasa hivi kiwango kimepanda akiwa ndani ya mkataba hivyo ni kazi ya club kuona imuongezee mshahara ili kumlinda au isubiri mkataba uishe.

Huwezi kumlipa 10m mchezaji ambae hana profile ya kulipwa hivyo, engineer yupo sahihi.
 
Wamekunyonya wapi mkuu maana hata vijana sasa hivi wanapenda kunyonya nyonya sana!
 
Unajua huyo Bacca kaja Yanga akiwa si star na haikutarajiwa kuwa hivyo. Yeye alinegotiate mshahara wa 1.5m alionao nyingi sana ukilinganisha na hela ya KMKM. Kumbuka hata huko EPL etc hawa akina Saka walikuwa wanalipwa chini ya 50k pw mpaka tukawa tunashangaa. Ukishine ndo unapata power ya negotiation. Hakuna klabu duniani inafanyaga ujinga wa kukurundikia mshahara ukiwa unproven. Hapa Mikia FC waulize Duchu analipwa ngapi ndo uje.
Hapo ni sawa ndo maana nimesema kwenye mkataba mpya lazima atakua ame negotiate vizuri...

Ndo maana timu hua zinaboresha maslahi ya mchezaji hata kabla mkataba wa awali haujaisha....rejea ya maxi nzegeli... Yanga waliboresha mkataba baada ya Kuona dogo anakiwasha mapema tu

Ukizembea unawapa mwanya timu nyingine kukupokonya mchezaji wako
 
Dokta lakini una emotions instability na unatakiwa uwahi kwa psychiatrist kwasababu mganga hajigangi kuna siku Albert einstein aliulizwa how many miles are in kilometres akajibu I don't always deal with facts I'm dealing with reasoning because facts even a fool can memorize it and provide a good answers.
Anazeeka vibaya..ila tumvumilie na tumpende tuu tusimtenge 😆 😆 😆 😆 huyo sio medical doctor...ni Doctor wa falsafa....
 
Ndugu mbumbumbu lazima utambue mikataba ni makubalianao ya pande mbili na hakuna kulazimishana. Kama unahisi thamani Yako ni kubwa kuliko malipo unakataa ku sain na una sepa.
Wachezji wageni wanalipwa vizuri kwakua wana wasimamizi werevu katika eneo ilo.

Kwenye soka ni pata potea, kiwango Cha mchezaji kikiwa Bora ni faida kwa klabu na kikiwa kibovu ni hasara kwa klabu haijalishi unalipwa fedha nyingi au ndogo.

Hakuna anaye mzulumu mwenzake kwakua hakuna anaye jua kiwango chako Cha baadae.
 
Habari za weekend wadau,

Tukiwa tunasubiria burudani kutoka Benjamin william mkapa kati ya yanga na al ahly na kule Botswana kati ya jwaneng galaxy na simba nimeona mitandaoni mahojiano ya baba mzazi wa yanga Ibrahim bacca na mwandishi inafikirisha na kusikitisha sana.

Baada ya kumsikiliza baba yake Ibrahim bacca kutoka visiwa vya marashi na karafuu nimeamini yule engineer hersi ni mafia kweli sema anajificha kwenye kivuli cha matokeo na mwenendo wa yanga ila yule ni mafia wa kuotea mbali.

Feisal salum alisema ili arudi yanga labda engineer hersi aondoke ila mashabiki wakamshambulia bila kujua uhalisia ila feisal hakukurupuka kwasababu feisal anaijua yanga kuliko engineer hersi alikuwepo kipindi yanga inapitia kipindi kigumu na alikaa licha ya hali mbaya ya team.

Nimemsikiliza baba yake mzazi wa mchezaji Ibrahim bacca anasema mwanawe alikuwa analipwa 1.5 million kabla ya ku renew mkataba mpya kweli kupambana kote kule kumbe mshahara wenyewe wanamlipa kama wa coastal union ila engineer hersi ni mafia sana kwa kuwa mashabiki wa yanga wanaangalia matokeo tu hawawezi kuliona hlo na hata malipo ya sasa inaonekana sio mazuri japo mzee hajaweka wazi ni kiasi gani analipwa baada ya mkataba mpya ila ni kama anasikitika na haridhishwi na malipo hayo baada ya kukataa kujibu swali hlo.

Ukiangalia alivyoondoka yannick bangala djuma shaban na saido ntibanzonkiza utaona umafia wa engineer hersi hata juzi kati mayele alihojiwa kuhusu kurudi tena yanga alijibu mimi na yanga tumemalizana yaani hata akirudi Tanzania sio kuichezea yanga unaona tatizo lililopo la engineer hersi na hata fabrice ngoma wakati amepata dili la kwenda yanga aliwatafuta wa Congo man wenzake pale yanga wakamwambia huku hakufai kama una sehemu nyingine we nenda ila sio yanga ndio ukasikia watu wanalalamika wameibiwa mchezaji airport.

Stephan ki aziz kashaona pale yanga ni wasanii sasa hivi anazungushana nao kwenye mkataba wakati huo max zingeli naye akiwa hafurahishwi na engineer hersi alivyo msanii kwa kushindwa kutimiza mahitaji yake kwa wakati na kuanza kuangalia uwezekano wa kuondoka clubuni hapo engineer hersi ni mafia haswa kwasababu yanga imemgaragaza mtani na kuchukua NBC premier league na kufanya vizuri Caf confederation cup mashabiki hawawezi kukubali wala kuamini umafia wa GSM wao wanaangalia matokeo tu kweli Ibrahim bacca ni wakulipwa 1.5 million na inaonekana wapo wengi wanaopewa pesa za housegirl pale yanga.

NB: kwakuwa jamii forum ina hifadhi kumbukumbu ipo siku umafia wa engineer hersi utakuwa hadharani pale yanga na tutarudi hapa kuhitimisha because time is the best teacher.
Lipia tangazo
 
Habari za weekend wadau,

Tukiwa tunasubiria burudani kutoka Benjamin william mkapa kati ya yanga na al ahly na kule Botswana kati ya jwaneng galaxy na simba nimeona mitandaoni mahojiano ya baba mzazi wa yanga Ibrahim bacca na mwandishi inafikirisha na kusikitisha sana.

Baada ya kumsikiliza baba yake Ibrahim bacca kutoka visiwa vya marashi na karafuu nimeamini yule engineer hersi ni mafia kweli sema anajificha kwenye kivuli cha matokeo na mwenendo wa yanga ila yule ni mafia wa kuotea mbali.

Feisal salum alisema ili arudi yanga labda engineer hersi aondoke ila mashabiki wakamshambulia bila kujua uhalisia ila feisal hakukurupuka kwasababu feisal anaijua yanga kuliko engineer hersi alikuwepo kipindi yanga inapitia kipindi kigumu na alikaa licha ya hali mbaya ya team.

Nimemsikiliza baba yake mzazi wa mchezaji Ibrahim bacca anasema mwanawe alikuwa analipwa 1.5 million kabla ya ku renew mkataba mpya kweli kupambana kote kule kumbe mshahara wenyewe wanamlipa kama wa coastal union ila engineer hersi ni mafia sana kwa kuwa mashabiki wa yanga wanaangalia matokeo tu hawawezi kuliona hlo na hata malipo ya sasa inaonekana sio mazuri japo mzee hajaweka wazi ni kiasi gani analipwa baada ya mkataba mpya ila ni kama anasikitika na haridhishwi na malipo hayo baada ya kukataa kujibu swali hlo.

Ukiangalia alivyoondoka yannick bangala djuma shaban na saido ntibanzonkiza utaona umafia wa engineer hersi hata juzi kati mayele alihojiwa kuhusu kurudi tena yanga alijibu mimi na yanga tumemalizana yaani hata akirudi Tanzania sio kuichezea yanga unaona tatizo lililopo la engineer hersi na hata fabrice ngoma wakati amepata dili la kwenda yanga aliwatafuta wa Congo man wenzake pale yanga wakamwambia huku hakufai kama una sehemu nyingine we nenda ila sio yanga ndio ukasikia watu wanalalamika wameibiwa mchezaji airport.

Stephan ki aziz kashaona pale yanga ni wasanii sasa hivi anazungushana nao kwenye mkataba wakati huo max zingeli naye akiwa hafurahishwi na engineer hersi alivyo msanii kwa kushindwa kutimiza mahitaji yake kwa wakati na kuanza kuangalia uwezekano wa kuondoka clubuni hapo engineer hersi ni mafia haswa kwasababu yanga imemgaragaza mtani na kuchukua NBC premier league na kufanya vizuri Caf confederation cup mashabiki hawawezi kukubali wala kuamini umafia wa GSM wao wanaangalia matokeo tu kweli Ibrahim bacca ni wakulipwa 1.5 million na inaonekana wapo wengi wanaopewa pesa za housegirl pale yanga.

NB: kwakuwa jamii forum ina hifadhi kumbukumbu ipo siku umafia wa engineer hersi utakuwa hadharani pale yanga na tutarudi hapa kuhitimisha because time is the best teacher.
Inawezekana kuwa ni wanyonyaji,ila wanyonyaji wa simba pekee🤣🤣
 
Habari za weekend wadau,

Tukiwa tunasubiria burudani kutoka Benjamin william mkapa kati ya yanga na al ahly na kule Botswana kati ya jwaneng galaxy na simba nimeona mitandaoni mahojiano ya baba mzazi wa yanga Ibrahim bacca na mwandishi inafikirisha na kusikitisha sana.

Baada ya kumsikiliza baba yake Ibrahim bacca kutoka visiwa vya marashi na karafuu nimeamini yule engineer hersi ni mafia kweli sema anajificha kwenye kivuli cha matokeo na mwenendo wa yanga ila yule ni mafia wa kuotea mbali.

Feisal salum alisema ili arudi yanga labda engineer hersi aondoke ila mashabiki wakamshambulia bila kujua uhalisia ila feisal hakukurupuka kwasababu feisal anaijua yanga kuliko engineer hersi alikuwepo kipindi yanga inapitia kipindi kigumu na alikaa licha ya hali mbaya ya team.

Nimemsikiliza baba yake mzazi wa mchezaji Ibrahim bacca anasema mwanawe alikuwa analipwa 1.5 million kabla ya ku renew mkataba mpya kweli kupambana kote kule kumbe mshahara wenyewe wanamlipa kama wa coastal union ila engineer hersi ni mafia sana kwa kuwa mashabiki wa yanga wanaangalia matokeo tu hawawezi kuliona hlo na hata malipo ya sasa inaonekana sio mazuri japo mzee hajaweka wazi ni kiasi gani analipwa baada ya mkataba mpya ila ni kama anasikitika na haridhishwi na malipo hayo baada ya kukataa kujibu swali hlo.

Ukiangalia alivyoondoka yannick bangala djuma shaban na saido ntibanzonkiza utaona umafia wa engineer hersi hata juzi kati mayele alihojiwa kuhusu kurudi tena yanga alijibu mimi na yanga tumemalizana yaani hata akirudi Tanzania sio kuichezea yanga unaona tatizo lililopo la engineer hersi na hata fabrice ngoma wakati amepata dili la kwenda yanga aliwatafuta wa Congo man wenzake pale yanga wakamwambia huku hakufai kama una sehemu nyingine we nenda ila sio yanga ndio ukasikia watu wanalalamika wameibiwa mchezaji airport.

Stephan ki aziz kashaona pale yanga ni wasanii sasa hivi anazungushana nao kwenye mkataba wakati huo max zingeli naye akiwa hafurahishwi na engineer hersi alivyo msanii kwa kushindwa kutimiza mahitaji yake kwa wakati na kuanza kuangalia uwezekano wa kuondoka clubuni hapo engineer hersi ni mafia haswa kwasababu yanga imemgaragaza mtani na kuchukua NBC premier league na kufanya vizuri Caf confederation cup mashabiki hawawezi kukubali wala kuamini umafia wa GSM wao wanaangalia matokeo tu kweli Ibrahim bacca ni wakulipwa 1.5 million na inaonekana wapo wengi wanaopewa pesa za housegirl pale yanga.

NB: kwakuwa jamii forum ina hifadhi kumbukumbu ipo siku umafia wa engineer hersi utakuwa hadharani pale yanga na tutarudi hapa kuhitimisha because time is the best teacher.
We kweli pwilo!

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Msiwe mnakurupuka kufananisha wachezaji wa ndani na wa kigeni, mchezaji wa kigeni anakuja akiwa tayari na value husika, hawa wachezaji wa ndani wanapanda thamani wakiwa ndani ya club.

Mfano bacca wakati anakuja yanga kutokea KMKM mshahara wa 1.5 ulikua mkubwa kwake na alikua tayari kusaini miaka zaidi ya ile aliyosaini. Sasa hivi kiwango kimepanda akiwa ndani ya mkataba hivyo ni kazi ya club kuona imuongezee mshahara ili kumlinda au isubiri mkataba uishe.

Huwezi kumlipa 10m mchezaji ambae hana profile ya kulipwa hivyo, engineer yupo sahihi.
Mchezaji anakuwa na thamani in two ways
Kwanza kwa club anayoichezea
Pili thamani ya mchezaji husika yaani mpaka mchezaji anasajiliwa yanga au simba ina maana ana sifa na profile za kucheza team hyo kwa hyo club inapaswa impe thamani kutokana na thamani na ukubwa wa club husika hata ulaya huwezi kusema real Madrid hawamlipi vizuri vinicius jr kwasababu watu walikuwa hawamjui au yule endrick wa Brazil akifika real Madrid lazima mshahara upande yaani mchezaji hata awe na kiwango na profile kubwa hawezi akalipwa hela kubwa ihefu au namungo na coastal union kwasababu hazina uwezo huo.
 
Habari za weekend wadau,

Tukiwa tunasubiria burudani kutoka Benjamin william mkapa kati ya yanga na al ahly na kule Botswana kati ya jwaneng galaxy na simba nimeona mitandaoni mahojiano ya baba mzazi wa yanga Ibrahim bacca na mwandishi inafikirisha na kusikitisha sana.

Baada ya kumsikiliza baba yake Ibrahim bacca kutoka visiwa vya marashi na karafuu nimeamini yule engineer hersi ni mafia kweli sema anajificha kwenye kivuli cha matokeo na mwenendo wa yanga ila yule ni mafia wa kuotea mbali.

Feisal salum alisema ili arudi yanga labda engineer hersi aondoke ila mashabiki wakamshambulia bila kujua uhalisia ila feisal hakukurupuka kwasababu feisal anaijua yanga kuliko engineer hersi alikuwepo kipindi yanga inapitia kipindi kigumu na alikaa licha ya hali mbaya ya team.

Nimemsikiliza baba yake mzazi wa mchezaji Ibrahim bacca anasema mwanawe alikuwa analipwa 1.5 million kabla ya ku renew mkataba mpya kweli kupambana kote kule kumbe mshahara wenyewe wanamlipa kama wa coastal union ila engineer hersi ni mafia sana kwa kuwa mashabiki wa yanga wanaangalia matokeo tu hawawezi kuliona hlo na hata malipo ya sasa inaonekana sio mazuri japo mzee hajaweka wazi ni kiasi gani analipwa baada ya mkataba mpya ila ni kama anasikitika na haridhishwi na malipo hayo baada ya kukataa kujibu swali hlo.

Ukiangalia alivyoondoka yannick bangala djuma shaban na saido ntibanzonkiza utaona umafia wa engineer hersi hata juzi kati mayele alihojiwa kuhusu kurudi tena yanga alijibu mimi na yanga tumemalizana yaani hata akirudi Tanzania sio kuichezea yanga unaona tatizo lililopo la engineer hersi na hata fabrice ngoma wakati amepata dili la kwenda yanga aliwatafuta wa Congo man wenzake pale yanga wakamwambia huku hakufai kama una sehemu nyingine we nenda ila sio yanga ndio ukasikia watu wanalalamika wameibiwa mchezaji airport.

Stephan ki aziz kashaona pale yanga ni wasanii sasa hivi anazungushana nao kwenye mkataba wakati huo max zingeli naye akiwa hafurahishwi na engineer hersi alivyo msanii kwa kushindwa kutimiza mahitaji yake kwa wakati na kuanza kuangalia uwezekano wa kuondoka clubuni hapo engineer hersi ni mafia haswa kwasababu yanga imemgaragaza mtani na kuchukua NBC premier league na kufanya vizuri Caf confederation cup mashabiki hawawezi kukubali wala kuamini umafia wa GSM wao wanaangalia matokeo tu kweli Ibrahim bacca ni wakulipwa 1.5 million na inaonekana wapo wengi wanaopewa pesa za housegirl pale yanga.

NB: kwakuwa jamii forum ina hifadhi kumbukumbu ipo siku umafia wa engineer hersi utakuwa hadharani pale yanga na tutarudi hapa kuhitimisha because time is the best teacher.
Acha kufutilia mishahara ya wanaume wenzio katafute pesa wewe
 
Bacca hakustahili kulipwa hiyo hela wakati wakina Morrison walikua hawachezi mechi ba walikua wanazoa 15m Ki alikaa bench msimu uliopita alicheza mechi chache alikua anazoa 15m nadhani hii mambo ya kuwalipa kiduchu wachezaji wa ndani inapoteza morali huku wakitupa pesa nyingi kwa Wachezaji wa Nje wengine viwango vyao vya kawaida tuu..
 
Anazeeka vibaya..ila tumvumilie na tumpende tuu tusimtenge [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] huyo sio medical doctor...ni Doctor wa falsafa....
Kweli kabisa anaonekana hayupo sawa.
 
Hersi ni wakala wa shetani...hata kama Bacca katoka alikotoka lakini katua klabu kubwa ya Yanga...unampa 1.5 kweli?....
Yule ni mafia kweli kweli.
 
Hakuna ulichoandika cha maana zaidi ya chuki zako kwa Hersi.
1) Bacca analipwa kile ambacho yeye binafsi kaona kina mtosheleza lakini wewe unakuja kupiga kelele utafikiri huyo Bacca ni mtoto mdogo, au kama vile hana mdomo au kama vile analazimishwa. Laiti kama unachongea wewe kingekuwa ni sahihi basi Bacca asingejipiga kitanzi cha miaka zaidi ya mitatu Yanga. Hiyo shida ya Hersi Bacca hakuona ila wewe uliyekuwa nje unajifanya mjuaji.
2) Feisal alisaini mkataba kwa mapenzi yake hakushikiwa bunduki kusaini mkataba, shida ni wewe na huyo Feisal wako wote mna mambo ya uswahili. Unasaini mkataba kwa makubaliano halafu baada ya kusikia mwenzako unayefanya nae kazi analipwa zaidi yako unaanza kuwa na wivu wakati kila mmoja alipatanisha mshahara wake kwa utashi wake.
Calm down sio mimi nilie lalamika ni baba yake mzazi mimi nimewasilisha mada tu acha kukurupuka.
 
Wenye akili ni yanga waliomleta mchezaji kutoka English premier league Newcastle United kwa kumlipia ticket ya ndege.
Uyo mchezaji alisajiliwa au akusajiliwa? Na vipi manzoki alisajiliwa kwenye mkutano wa kampeni?
 
Ibra ameanza kuwa tegemeo mara tu aliposajiliwa Kwa mshahara huo wa 1.5. + Bonuses au amewika katikati ya Mkataba?
Thamani inakuwa kwa team au kwa mchezaji brand ya yanga ni kubwa hivyo inatakiwa iendane na uhalisia.
 
Back
Top Bottom