Yanga ni ya tatu kwa ubora Afrika

Yanga ni ya tatu kwa ubora Afrika

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Vilabu bora Barani Africa :

1. [emoji1093] Al Ahly Cairo
2. [emoji1173] Wydad Casablanca
3. [emoji1241] Young Afticans
4. [emoji1093] Pyramids
5. [emoji1221] Mamelodi Sundowns
6. [emoji1173] FAR Rabat
7. [emoji1173] Raja Casablanca
8. [emoji1093] Zamalek
9. [emoji1026] CR Belouizdad

Shirika la kukusanya takwimu Duniani kwenye soka lenye makao yake makuu Nchini Switzerland [emoji1237] 'International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) limetangaza top (20) ya vilabu bora Africa kuanzia (1 Sept 2022 - 31 October 2023 ambavyo ni hivyo juu [emoji867]

Kwa mujibu (IFFHS) hukusanya points kupitia mashindano yote rasmi, yaani Ligi kuu, CAF na FA cup za Nchi husika kupata list ya viwango vya ubora kwa mwaka husika.
 
Vilabu bora Barani Africa :

1. [emoji1093] Al Ahly Cairo
2. [emoji1173] Wydad Casablanca
3. [emoji1241] Young Afticans
4. [emoji1093] Pyramids
5. [emoji1221] Mamelodi Sundowns
6. [emoji1173] FAR Rabat
7. [emoji1173] Raja Casablanca
8. [emoji1093] Zamalek
9. [emoji1026] CR Belouizdad

Shirika la kukusanya takwimu Duniani kwenye soka lenye makao yake makuu Nchini Switzerland [emoji1237] 'International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) limetangaza top (20) ya vilabu bora Africa kuanzia (1 Sept 2022 - 31 October 2023 ambavyo ni hivyo juu [emoji867]

Kwa mujibu (IFFHS) hukusanya points kupitia mashindano yote rasmi, yaani Ligi kuu, CAF na FA cup za Nchi husika kupata list ya viwango vya ubora kwa mwaka husika.
Emoji ya kidole uliyotumia kuonesha Hapo juu umekosea mkuu naona kama umetutukana ungetumia hii 👆👆
 
🤣😂 Nimepiga kwenye mshono
Mnajifananisha na Mani yuu
Sasa maniyuu anafanya mazoezi online?
Hana uwanja?
Ana ofisi bondeni kwenye mkondo wa maji?
Jibu hayo kwanza
Kosa letu kuwa number 3? Basi hatumo humo......sikiliza music nyuma speaker
 
🤣😂 Nimepiga kwenye mshono
Mnajifananisha na Mani yuu
Sasa maniyuu anafanya mazoezi online?
Hana uwanja?
Ana ofisi bondeni kwenye mkondo wa maji?
Jibu hayo kwanza
Sasa uwanja ndio huwa unacheza mechi??
Labda ungesema yanga ina ukata hain pesa, ila viwanja si vinakodiwa tu kama kwa mkapa simba na yanga inavoukodi kwenye mechi zake.

Au kuna uhusiano gani wa rank za ubora na kua na uwanja??
 
Sasa uwanja ndio huwa unacheza mechi??
Labda ungesema yanga ina ukata hain pesa, ila viwanja si vinakodiwa tu kama kwa mkapa simba na yanga inavoukodi kwenye mechi zake.

Au kuna uhusiano gani wa rank za ubora na kua na uwanja??
Kwa akili zake ina maana Azam, Mtibwa, Ihefu, Gwambina kwa kuwa zina viwanja ni bora kuliko Simba na Yanga
 
Hongereni sana
Vilabu bora Barani Africa :

1. [emoji1093] Al Ahly Cairo
2. [emoji1173] Wydad Casablanca
3. [emoji1241] Young Afticans
4. [emoji1093] Pyramids
5. [emoji1221] Mamelodi Sundowns
6. [emoji1173] FAR Rabat
7. [emoji1173] Raja Casablanca
8. [emoji1093] Zamalek
9. [emoji1026] CR Belouizdad

Shirika la kukusanya takwimu Duniani kwenye soka lenye makao yake makuu Nchini Switzerland [emoji1237] 'International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) limetangaza top (20) ya vilabu bora Africa kuanzia (1 Sept 2022 - 31 October 2023 ambavyo ni hivyo juu [emoji867]

Kwa mujibu (IFFHS) hukusanya points kupitia mashindano yote rasmi, yaani Ligi kuu, CAF na FA cup za Nchi husika kupata list ya viwango vya ubora kwa mwaka husika.
 
Back
Top Bottom