rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Timu iliyochukua kombe la shirikisho na super cup haipo hata top 10 halafu mnataka tuamini hii taarifa. Kweli aliyesema wenye akili ni wawili apewe Mauaa yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionyeshe uwanja wa Al ahly[emoji1787][emoji23]
Asante kunichekesha asubuhi
Yangaa hii ambayo haina uwanja?
Ofisi wamejenga bondeni, kwenye mkondo wa maji
Sasa Simba ina nini cha ajabu?Ila utopolo wenye akili ni wawili tu sasa hii utopolo inaizidi Simba na mamelod kweli
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Kwa Yanga hii kila goti litapigwa ume anza kulegeaYanga Tunamzidi hadi Mamelody.
Na ofisi yenyewe ni kibanda cha kufugia njiwa na kunguru wa Chalamila 😂Ofisi wamejenga bondeni
Leta taarifa yako ambayo Iko sahihiTimu iliyochukua kombe la shirikisho na super cup haipo hata top 10 halafu mnataka tuamini hii taarifa. Kweli aliyesema wenye akili ni wawili apewe Mauaa yake.
Ni tafsiri tu ya mtu......maana hapo hajakunyooshea ameelezea yakwakeEmoji ya kidole uliyotumia kuonesha Hapo juu umekosea mkuu naona kama umetutukana ungetumia hii 👆👆
Tafsiri ya Emoji ipo kwa aliyezitengeneza na aliyezitengeza ametoa ufafanuzi wa maana ya kila emoji na hiyo ni Tusi period..Ni tafsiri tu ya mtu......maana hapo hajakunyooshea ameelezea yakwake
Tena wamechukua super cup, Hawa jamaa wanachezesha Sana.iletimu iliowafunga yanga fainali ikonafasi yangapi mkuu mtoa mada?
Tafsiri ya Emoji ipo kwa aliyezitengeneza na aliyezitengeza ametoa ufafanuzi wa maana ya kila emoji na hiyo ni Tusi period..
Hizo sio maana hayo ni majina ya emoji mkuu..View attachment 2803545
Umeona maana hizo hakuna tusi apooo ni tafsiri za watu tu mkuu
Jina lako lina sadifuYoung afticans
Bila shaka hao sio utopolo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kupata vichekesho kama hivi tubonye ngapi?Vilabu bora Barani Africa :
1. [emoji1093] Al Ahly Cairo
2. [emoji1173] Wydad Casablanca
3. [emoji1241] Young Afticans
4. [emoji1093] Pyramids
5. [emoji1221] Mamelodi Sundowns
6. [emoji1173] FAR Rabat
7. [emoji1173] Raja Casablanca
8. [emoji1093] Zamalek
9. [emoji1026] CR Belouizdad
Shirika la kukusanya takwimu Duniani kwenye soka lenye makao yake makuu Nchini Switzerland [emoji1237] 'International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) limetangaza top (20) ya vilabu bora Africa kuanzia (1 Sept 2022 - 31 October 2023 ambavyo ni hivyo juu [emoji867]
Kwa mujibu (IFFHS) hukusanya points kupitia mashindano yote rasmi, yaani Ligi kuu, CAF na FA cup za Nchi husika kupata list ya viwango vya ubora kwa mwaka husika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kupata vichekesho kama hivi tubonye ngapi?Vilabu bora Barani Africa :
1. [emoji1093] Al Ahly Cairo
2. [emoji1173] Wydad Casablanca
3. [emoji1241] Young Afticans
4. [emoji1093] Pyramids
5. [emoji1221] Mamelodi Sundowns
6. [emoji1173] FAR Rabat
7. [emoji1173] Raja Casablanca
8. [emoji1093] Zamalek
9. [emoji1026] CR Belouizdad
Shirika la kukusanya takwimu Duniani kwenye soka lenye makao yake makuu Nchini Switzerland [emoji1237] 'International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) limetangaza top (20) ya vilabu bora Africa kuanzia (1 Sept 2022 - 31 October 2023 ambavyo ni hivyo juu [emoji867]
Kwa mujibu (IFFHS) hukusanya points kupitia mashindano yote rasmi, yaani Ligi kuu, CAF na FA cup za Nchi husika kupata list ya viwango vya ubora kwa mwaka husika.
Hao wote ni cha Mtoto mbele ya Adui "Chawa"Maadui wakubwa wa Taifa letu ni.
"Umasikini.
Ujinga na
Maradhi"
IRP Baba wa Taifa
Julius Kambarage Nyerere
Bila kusahau umbumbumbuMaadui wakubwa wa Taifa letu ni.
"Umasikini.
Ujinga na
Maradhi"
IRP Baba wa Taifa
Julius Kambarage Nyerere
Achana na ahly mwambie akuoneshe uwanja wa Ac Milan au wa inter MilanNionyeshe uwanja wa Al ahly
Ukiwa shabiki wa yanga lazima akili zipungungue kama si kuisha kabisa,Maadui wakubwa wa Taifa letu ni.
"Umasikini.
Ujinga na
Maradhi"
IRP Baba wa Taifa
Julius Kambarage Nyerere