Kwani,mnatafsirije hivyo vidole mpaka kikinyoshwa hivi,umetukanwa? Kuigaiga nako kubayaEmoji ya kidole uliyotumia kuonesha Hapo juu umekosea mkuu naona kama umetutukana ungetumia hii ππ
Hili nimeshalijibu kuwa Tafsiri ya emoji ya Vidole ipo kwa aliyevianzisha, maana ya Tafsiri za emoji zote zipo kwa aliyebuni Emoji hizo na nilichokifanya nimeonyesha maana kutokana na mbunifu alimaanisha nini,...So inabidi maswali yote uyaelekeze kwa wabunifu wa Emoji...Kwani,mnatafsirije hivyo vidole mpaka kikinyoshwa hivi,umetukanwa? Kuigaiga nako kubaya
USM Algiers ya ngapi ?Vilabu bora Barani Africa :
1. [emoji1093] Al Ahly Cairo
2. [emoji1173] Wydad Casablanca
3. [emoji1241] Young Afticans
4. [emoji1093] Pyramids
5. [emoji1221] Mamelodi Sundowns
6. [emoji1173] FAR Rabat
7. [emoji1173] Raja Casablanca
8. [emoji1093] Zamalek
9. [emoji1026] CR Belouizdad
Shirika la kukusanya takwimu Duniani kwenye soka lenye makao yake makuu Nchini Switzerland [emoji1237] 'International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) limetangaza top (20) ya vilabu bora Africa kuanzia (1 Sept 2022 - 31 October 2023 ambavyo ni hivyo juu [emoji867]
Kwa mujibu (IFFHS) hukusanya points kupitia mashindano yote rasmi, yaani Ligi kuu, CAF na FA cup za Nchi husika kupata list ya viwango vya ubora kwa mwaka husika.
Ngoja niufatilie huko MisriπNionyeshe uwanja wa Al ahly
Ufatilie wapi ??? Al ahly hana uwanja na anatumia uwanja wa kukodi kama ilivyo kwa simba na yangaNgoja niufatilie huko Misri[emoji120]
AlaahUfatilie wapi ??? Al ahly hana uwanja na anatumia uwanja wa kukodi kama ilivyo kwa simba na yanga
Sijui unaongea vitu gani ?? Pale uwanja wa taifa yanga anacheza bure ??? Unajua kwamba kila mechi ambayo yanga anatumia uwanja wa azam complex analipia million 5 per match?Alaah
Ngoja nifafilie
Nitakuletea ripot[emoji1787][emoji23]
Afu kama wanakodi inamaanisha Wana hela hao dollar, pounds
Yangah ni maskini[emoji23][emoji1787]
Wanakodije uwanja?
Au boss wao gsm ashafanya magendo ?so analipa?
OkπSijui unaongea vitu gani ?? Pale uwanja wa taifa yanga anacheza bure ??? Unajua kwamba kila mechi ambayo yanga anatumia uwanja wa azam complex analipia million 5 per match?
Ewe Mbumbumbu Nitajie Uwanja wa AC Milan na Inter Milan[emoji1787][emoji23]
Asante kunichekesha asubuhi
Yangaa hii ambayo haina uwanja?
Ofisi wamejenga bondeni, kwenye mkondo wa maji
Kwani hiyo ni project ya siku moja ??? Kwahiyo GSM asifanye mambo yake eti sababu ya yanga?? Ajenge hata majumba 500 hapo kigamboni sisi mashabiki wa yanga tunataka kuiona yanga inafanya vizuri basi maisha yake binafsi sisi hayatuhusu.Ok[emoji108]
Wamepewa ekari za kutosha kigamboni,jirani na huyo giesiemuu
Mbona hawajengi?
Mbona yeye kajenga hekalu hapohapo kigamboni[emoji1787][emoji23]
Si juzi kamfanyia mkewe birthday hapo kigambonino?
Kwenye hekalu lake like?
Embu niambie ipo kundi gani club Bingwa msimu huu?iletimu iliowafunga yanga fainali ikonafasi yangapi mkuu mtoa mada?
Rage[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kupata vichekesho kama hivi tubonye ngapi?
Yupo kundi gani Club Bingwa msimu huu?USM Algiers ya ngapi ?
Walipewa 2017ππ€£πKwani hiyo ni project ya siku moja ??? Kwahiyo GSM asifanye mambo yake eti sababu ya yanga?? Ajenge hata majumba 500 hapo kigamboni sisi mashabiki wa yanga tunataka kuiona yanga inafanya vizuri basi maisha yake binafsi sisi hayatuhusu.
Kwani Yanga na Simba wanatumia bure pale kwa Mkapa au Azam?Alaah
Ngoja nifafilie
Nitakuletea ripot[emoji1787][emoji23]
Afu kama wanakodi inamaanisha Wana hela hao dollar, pounds
Yangah ni maskini[emoji23][emoji1787]
Wanakodije uwanja?
Au boss wao gsm ashafanya magendo ?so analipa?
Nenda kanyonye Ballcone mpira hujuiAlaah
Ngoja nifafilie
Nitakuletea ripot[emoji1787][emoji23]
Afu kama wanakodi inamaanisha Wana hela hao dollar, pounds
Yangah ni maskini[emoji23][emoji1787]
Wanakodije uwanja?
Au boss wao gsm ashafanya magendo ?so analipa?
Hata ukinitukana haitawasidia Yangah timu maskin kuwa na uwanja wa kisasaπ€£πEwe Mbumbumbu Nitajie Uwanja wa AC Milan na Inter Milan
Uwanja ni kama K tuu,popote unachezea.Hata ukinitukana haitawasidia Yangah timu maskin kuwa na uwanja wa kisasa[emoji1787][emoji23]
Sawaππ€£ππNenda kanyonye Ballcone mpira hujui
Acheni kujifariji. Hao Ac Milan na Inter kila mmoja ana training center ya kisasa kuliko hata Azam Complex.Sasa nyinyi hata pa kufanyia training mnakodi halafu mnajifariji kwa kujilinganisha na akina Ac Milan.Achana na ahly mwambie akuoneshe uwanja wa Ac Milan au wa inter Milan