Yanga niliwahi kuwaambia mechi za kimataifa mtaumia sana kutokana na kucheza mieleka

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Ule mchezo wenu mnaosifiwa sana na wachambuzi waliozoea kuangalia mieleka na rugby, mkicheza mechi za kimataifa mtakufa sana kwa penalty na red card.

Hapa kwetu waamuzi wanawabeba na hata wakiwaadhibu mnalalamikia TFF mwaka mzima.

Kifupi ni kwamba mnavimbishwa kichwa na watu wasiojua mpira wakiwa wamejaa kwenye vyombo vya habari mnashindwa kucheza mpira na kukamia kuumiza wachezaji.

Msipojifunza kucheza mpira huko nje hakuna wa kutupia lawama kama mlivyozoea hapa kwetu kila siku TFF mara waamuzi wakati waamuzi wanawabeba sana
 
Umeandika kama vile kila mtu anafuatilia kila mechi au michezo yote duniani.
 
Yanga Ni Genge La Wahuni Wachache 😑😐
 
Judo fc halafu hua yanamsifu kocha!! Eti kakibadili kikosi
 
Mieleka ni Ile anayo cheza Thadeo Lwanga, Mechi na Kaizer Chief beki za Simba zilikua zikishindiliana vichwa wenyewe kwa wenyewe Kama mbuzi. Wachezaji wa Timu moja wanatoana damu Ile ndio maana halisi ya mieleka apo msimbazi.
 
Nikumbushe adhabu kubwa aliyopewa.
Au ndio TFF ilikuwa inawabeba Simba?
Mieleka ni Ile anayo cheza Thadeo Lwanga, Mechi na Kaizer Chief beki za Simba zilikua zikishindiliana vichwa wenyewe kwa wenyewe Kama mbuzi. Wachezaji wa Timu moja wanatoana damu Ile ndio maana halisi ya mieleka apo msimbazi.
 
They will learn the lesson the hardest way na mpira wao GWARIDE.
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…