Yanga niliwahi kuwaambia mechi za kimataifa mtaumia sana kutokana na kucheza mieleka

Yanga niliwahi kuwaambia mechi za kimataifa mtaumia sana kutokana na kucheza mieleka

Mikia wote mmeamua kupambana na Yanga kwenye mitandao ya kijamii kuendeleza alipoishia manara 😀,kila kukicha mikia ni kuanzisha thread za kuhusu Yanga tu,mtammiss sana manara 🤣
 
Ule mchezo wenu mnaosifiwa sana na wachambuzi waliozoea kuangalia mieleka na rugby, mkicheza mechi za kimataifa mtakufa sana kwa penalty na red card.

Hapa kwetu waamuzi wanawabeba na hata wakiwaadhibu mnalalamikia TFF mwaka mzima.

Kifupi ni kwamba mnavimbishwa kichwa na watu wasiojua mpira wakiwa wamejaa kwenye vyombo vya habari mnashindwa kucheza mpira na kukamia kuumiza wachezaji.

Msipojifunza kucheza mpira huko nje hakuna wa kutupia lawama kama mlivyozoea hapa kwetu kila siku TFF mara waamuzi wakati waamuzi wanawabeba sana
Waeleze hao UTO FC, futbori sio mieleka
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Ule mchezo wenu mnaosifiwa sana na wachambuzi waliozoea kuangalia mieleka na rugby, mkicheza mechi za kimataifa mtakufa sana kwa penalty na red card.

Hapa kwetu waamuzi wanawabeba na hata wakiwaadhibu mnalalamikia TFF mwaka mzima.

Kifupi ni kwamba mnavimbishwa kichwa na watu wasiojua mpira wakiwa wamejaa kwenye vyombo vya habari mnashindwa kucheza mpira na kukamia kuumiza wachezaji.

Msipojifunza kucheza mpira huko nje hakuna wa kutupia lawama kama mlivyozoea hapa kwetu kila siku TFF mara waamuzi wakati waamuzi wanawabeba sana
Hivi kumbe Yanga wanabebwa sana...!
 
yanga jana wamechezeshwa na waamuzi wa kimataifa na sio wale wanaotegemea bahasha za GSM na siku mechi ya simba na yanga itakapochezeshwa na waamuzi toka nje itabidi tutegemee kadi nyingi nyekundu na penati za kumwaga kwa sababu yanga haichezi mpira bali inacheza judo
 
Tungekuja huko jana mngepata sababu ya kulalamikia.Hamchelewi kusema Mo kanunua waamuzi kwa vile hii huenda ni tabia yenu ndiyo maana waamuzi wa ndani wanawabeba sana
Mkuu mbona mmekimbia kagame [emoji1787],au ndio mmeogopa mieleka ya Wananchi?
 
Mkuu mbona mmekimbia kagame [emoji1787],au ndio mmeogopa mieleka ya Wananchi?
Simba imecheza michezo mingi ,imefika robo fainali champions league ,imechukua kombe la VPL ,imechukua Azam Cup ,timu zisizo na vikombe vya maana mwaka huu mnatakiwa mjitahidi huko kwenye mabonanza
 
Simba imecheza michezo mingi ,imefika robo fainali champions league ,imechukua kombe la VPL ,imechukua Azam Cup ,timu zisizo na vikombe vya maana mwaka huu mnatakiwa mjitahidi huko kwenye mabonanza
mikia yanagonga yanarudi

Screenshot_20210802-230046_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom