Yanga noma bhana

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Ni sentehfu beki la timu ya taifa ya togo-VINCENT BOSSOU na kiungo mkabaji wa timu ya taifa ya zimbawe na kepten wa platinum fc THABAN KAMUSOKO.

Wachezaji hao watafanyiwa vipimo asubuhi hii.

Wakati huohuo yule machika mabao wa timu ya taifa ya Burundi anatarajiwa kuwasili leo kujiunga na mabigwa wa bara Yanga FC.
 

Attachments

  • Bossou+Vincent+Burkina+Faso+v+Togo+2013+Africa+kvQuQuvmhYbl[1].jpg
    33.7 KB · Views: 475
  • mido la zimbabwe.jpg
    28.2 KB · Views: 413
Mkuu labda wachezee Yanga B..nafasi ilikuwa moja

Kingine tuwemakini hawa jamaa n mitaji ya kocha na viongozi pesa inayose
Wa awalipekeeyao..mmemwona zuttah beki wa ghana kipi kipya??anacho
 
Kweli noma Unakumbuka hiki kipigo?AZAM 5 YANGA 3?kweli noma mkuu
 
Zaidi ya maneno hamna kitu kazi kujisifia tuuu mpira hamna
 
Watu wasiojua mpira buanaaaa...

Sheria ya matuta imewwkwa ili kupata mshindi tu na sio kujua ushindi wa kiasi gani...

Officially matokeo huesabika yale ya ndani ya dakika 90 au 120...

Na kwa kukuongezea maarifa tu, ndio maana magoli hayo ya penati huwa hayajumlishwi katika kutafuta mfungaji bora...

Kweli noma Unakumbuka hiki kipigo?AZAM 5 YANGA 3?kweli noma mkuu
 
Uzuri wa Yanga mpira wao huwa unaishia magazetini na kwenye mitandao ya jamii tu. Wakiwa uwanjani ni bwabwa tu kwa Simba na Azam, hata wafanyeje hali ni ile ile.
 
Watu8 sasa kwanini yanga wasipate ushindi ? Aliyepata ushindi ndio anajua mpira AZAM hoyeeeeee
 
Yaani unoumer upo wapi ??? Hawa kwa domo tuu hata chupaki haoni ndani...!!

Hivi yule bondia wa Cameroon si kelele zilikuwa hizi hizi ili mradi cameroon basi wanasomba somba tuu. Ipo kazi timu inasajili kila week, na kuacha. Ohh beki mkali wa ghana, mara yule mpiga ngoma wa Samba JAJA....yaani ni vichekesho...

Eti alimkata Drogba..... !!
 

wamchangani. tulieni nafasi yenu ya nne ipo tu hamna atakaye wanyanganya...
 
Uzuri wa Yanga mpira wao huwa unaishia magazetini na kwenye mitandao ya jamii tu. Wakiwa uwanjani ni bwabwa tu kwa Simba na Azam, hata wafanyeje hali ni ile ile.

wamchangani huwa hamkosi la kuongea kama wanawake wa kiswaz vile...hata ubingwa tulichukulia magazetini, nyie mikia tunaenda msimu wa tano mnaishia nafasi ya nne mkigombania na kagera sukari
 
Uzuri wa Yanga mpira wao huwa unaishia magazetini na kwenye mitandao ya jamii tu. Wakiwa uwanjani ni bwabwa tu kwa Simba na Azam, hata wafanyeje hali ni ile ile.
Simba inayocheza mpira uwanjani mbona inaishia nafasi ya nne na tatu huu msimu wa tatu sasa!!!! Kati ya hiyo misimu mitatu Yanga wamekuwa mabingwa mara 2 na Azam mara 1, Je, kati Simba, Yanga na Azam timu ipi inacheza mpira magazetini?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…