Ulitakiwa kuishauri timu yako ya Azam kabla ya kupokea kile kipigo kitakatifu cha tatu bila kutoka kwa wale Waarab dhaifu.Habari za mda huu wakuu
Nmekuja kuandika kuhusu mechi ya leo ya Yanga
Naona wanajisahau kwa kuona club Tunis ni ya Kawaida baada ya kufungwa 8 na TP mazembe .
Nawakumbusha tu yanga. Wao sio MAZEMBE waache kudharau wapinzani otherwise kitakachowatokea kitakuwa kituko na Aibu ya karne
Tatizo la timu yangu ya Yanga, wanautegemea sana mwenge. Walidanganywa kwamba mwenge unaletaga amani, wakamini. Walidanganywa mwenge unaleta tumaini wakakubali. Wakashau kuwa mwenge hauvuki mipaka ya nchi yetu.Habari za mda huu wakuu
Nmekuja kuandika kuhusu mechi ya leo ya Yanga
Naona wanajisahau kwa kuona club Tunis ni ya Kawaida baada ya kufungwa 8 na TP mazembe .
Nawakumbusha tu yanga. Wao sio MAZEMBE waache kudharau wapinzani otherwise kitakachowatokea kitakuwa kituko na Aibu ya karne
Habari za mda huu wakuu
Nmekuja kuandika kuhusu mechi ya leo ya Yanga
Naona wanajisahau kwa kuona club Tunis ni ya Kawaida baada ya kufungwa 8 na TP mazembe .
Nawakumbusha tu yanga. Wao sio MAZEMBE waache kudharau wapinzani otherwise kitakachowatokea kitakuwa kituko na Aibu ya karne
Leo hawatoamini macho yaoTatizo la timu yangu ya Yanga, wanautegemea sana mwenge. Walidanganywa kwamba mwenge unaletaga amani, wakamini. Walidanganywa mwenge unaleta tumaini wakakubali. Wakashau kuwa mwenge hauvuki mipaka ya nchi yetu.
Kama mwenge unaleta amani, kwanini wasiupeleke Ukraine [emoji1255] tupate nafuu ya maisha?
Tena huko Zitto alikuwepo siku si nyingi, si wangempa aende nao, akifika huko auwashe na kiberiti chake aanze kuimba mwenge huo mwenge, mbiombio, mwenge tunaukimbiza, mbiombio ,mpaka makao makuu, mbiombio