FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Habari za mda huu wakuu
Nmekuja kuandika kuhusu mechi ya leo ya Yanga
Naona wanajisahau kwa kuona club Tunis ni ya Kawaida baada ya kufungwa 8 na TP mazembe .
Nawakumbusha tu yanga. Wao sio MAZEMBE waache kudharau wapinzani otherwise kitakachowatokea kitakuwa kituko na Aibu ya karne
Nmekuja kuandika kuhusu mechi ya leo ya Yanga
Naona wanajisahau kwa kuona club Tunis ni ya Kawaida baada ya kufungwa 8 na TP mazembe .
Nawakumbusha tu yanga. Wao sio MAZEMBE waache kudharau wapinzani otherwise kitakachowatokea kitakuwa kituko na Aibu ya karne