Pambana na kivuli chako baadae ....Baada ya nyuma mwiko a.k.a gongowazi,yondo sista,utopolo,nzi wa kijani,chura mjane kuwafunga kwa mbinde tugoli sita walima matikiti wa ethiopia uto wameshindwa kuivunja rekodi ya kufunga goli kwenye michuano ya caf champions league iliyowekwa na simba dume lenye njaa kutoka mbuga ya kariakoo baada ya kumfunga horoya goli 7.
Hiyo rekodi wanaitamani sana. Ngoja wake kuvunjika viuno kwa kujaribu mambo ya wakubwaBaada ya nyuma mwiko a.k.a gongowazi,yondo sista,utopolo,nzi wa kijani,chura mjane kuwafunga kwa mbinde tugoli sita walima matikiti wa ethiopia uto wameshindwa kuivunja rekodi ya kufunga goli kwenye michuano ya caf champions league iliyowekwa na simba dume lenye njaa kutoka mbuga ya kariakoo baada ya kumfunga horoya goli 7.
Yote kheri hata kolo ni timu bora ila alikula 5.kumbuka horoya ni timu kubwa na bora kuliko wale walima matikiti mliowafunga jana.
Wakawaanzisha Chama na Mkude lakini wapiiiyanga watoto wadogo sisi "SIMBA" ndo baba zao inabidi watuheshimu
Yanga hii ya Pacome, Diarra, Mzize, Maxi inafunga timu mbovu tu kuanzia goli 5 na kuendelea. Kudhihirisha ubovu wa mpinzani Yanga wanakupiga nyumbani kwako na ugenini.kumbuka horoya ni timu kubwa na bora kuliko wale walima matikiti mliowafunga jana.
Sawazile 5 mlifunga manula sio simba
Ongezea..Simba alishinda kwenye makundi na sio preliminary...hizi rekodi za preliminary huwa zinafutwa zoteBaada ya nyuma mwiko a.k.a gongowazi,yondo sista,utopolo,nzi wa kijani,chura mjane kuwafunga kwa mbinde tugoli sita walima matikiti wa ethiopia uto wameshindwa kuivunja rekodi ya kufunga goli kwenye michuano ya caf champions league iliyowekwa na simba dume lenye njaa kutoka mbuga ya kariakoo baada ya kumfunga horoya goli 7.