gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Baada ya nyuma mwiko a.k.a gongowazi,yondo sista,utopolo,nzi wa kijani,chura mjane kuwafunga kwa mbinde tugoli sita walima matikiti wa ethiopia uto wameshindwa kuivunja rekodi ya kufunga goli kwenye michuano ya caf champions league iliyowekwa na simba dume lenye njaa kutoka mbuga ya kariakoo baada ya kumfunga horoya goli 7.