Yanga pamoja na kuwa hoi kifedha itafanya vizuri kuliko Simba ambao wako vizuri kiuchumi lakini wamewekeza katika majigambo na kejeli zaidi

Yanga pamoja na kuwa hoi kifedha itafanya vizuri kuliko Simba ambao wako vizuri kiuchumi lakini wamewekeza katika majigambo na kejeli zaidi

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Yanga kwa sasa ipo hoi kiuchumi hadi kufikia kutembeza bakuli lakini itafanya vizuri sana uwanjani kwa kuwa haina cha kupoteza kwakuwa hata usajili wao sio wa kutisha kama wa wapinzani wao wa jadi Simba ambao wako vizuri kifedha kutokana na kuwa na mfadhili mwenye fedha na pia kufanya usajili mkubwa lakini kimpira hawatafanya vizuri kwakuwa wamewekeza katika dharau, kejeli na majigambo zaidi ya kujikita katika mpira.
 
Yanga kwa sasa ipo hoi kiuchumi hadi kufikia kutembeza bakuli lakini itafanya vizuri sana uwanjani kwa kuwa haina cha kupoteza kwakuwa hata usajili wao sio wa kutisha kama wa wapinzani wao wa jadi Simba ambao wako vizuri kifedha kutokana na kuwa na mfadhili mwenye fedha na pia kufanya usajili mkubwa lakini kimpira hawatafanya vizuri kwakuwa wamewekeza katika dharau, kejeli na majigambo zaidi ya kujikita katika mpira.
Yanga hawana historia hiyo. Simba ndio inakuwanga na historia ya kuifunga yanga hata kama wana hali mbaya
 
Young Africans SC pamoja na Mashabiki zake wanafahamu hali halisi ya Timu yao, hivyo hawapati presha kujigambagamba mbele ya Watu au Vyombo ya habari bali hufanya maandalizi kimyakimya . Yanga wanaweza kutwaa taji la Ligi Kuu Tanzania Bara kimzahamzaha .
 
Back
Top Bottom