Yanga poleni sana mdomo uliponza kichwa

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
168
nawasikitia timu ya yangaafrica uongozi pamoja na mashabiki yasiojua mpira mlimsakama jaja akamua abaki kwao mkaona haitoshi mkaanza kwa maximo.

kocha mwenye taaluma maximo aliwaacha yanga nafasi ya pili leo mpo nafasi ya nne amakweli mdomo uliponza kichwa
 
we limbilifu hebu tazama point na uache kutazama nafasi...
 
yanga ni sawa na maiti inayonuka haifai hata kuzikwa
 
Unanikumbusha kipindi kile Kibadeni na Julio waliondoka tukiwa nafasi ya kwanza halafu akaja Logarusic na kututupa hadi nafasi ya nne.
 
Unanikumbusha kipindi kile Kibadeni na Julio waliondoka tukiwa nafasi ya kwanza halafu akaja Logarusic na kututupa hadi nafasi ya nne.

unanikumbusha kandambili walimtimua jaja akiwa kafunga magoli 3 wamemleta mrwanda mpaka sasa kacheza mechi 7 ana magoli 0
 
unanikumbusha kandambili walimtimua jaja akiwa kafunga magoli 3 wamemleta mrwanda mpaka sasa kacheza mechi 7 ana magoli 0

Mechi ya 8 kaleta pointi 3. Ninyi mlimtimua Tambwe aliyekuwa mfungaji bora mkamleta Simon Sserunkuma ambaye hajafunga bao hata moja hadi sasa.

CC. Amavubi & Co. PLC.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…