wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
nawasikitia timu ya yangaafrica uongozi pamoja na mashabiki yasiojua mpira mlimsakama jaja akamua abaki kwao mkaona haitoshi mkaanza kwa maximo.
kocha mwenye taaluma maximo aliwaacha yanga nafasi ya pili leo mpo nafasi ya nne amakweli mdomo uliponza kichwa
kocha mwenye taaluma maximo aliwaacha yanga nafasi ya pili leo mpo nafasi ya nne amakweli mdomo uliponza kichwa