Yanga poleni sana mdomo uliponza kichwa

Yanga poleni sana mdomo uliponza kichwa

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
168
nawasikitia timu ya yangaafrica uongozi pamoja na mashabiki yasiojua mpira mlimsakama jaja akamua abaki kwao mkaona haitoshi mkaanza kwa maximo.

kocha mwenye taaluma maximo aliwaacha yanga nafasi ya pili leo mpo nafasi ya nne amakweli mdomo uliponza kichwa
 
we limbilifu hebu tazama point na uache kutazama nafasi...
 
nawasikitia timu ya yangaafrica uongozi pamoja na mashabiki yasiojua mpira mlimsakama jaja akamua abaki kwao mkaona haitoshi mkaanza kwa maximo.

kocha mwenye taaluma maximo aliwaacha yanga nafasi ya pili leo mpo nafasi ya nne amakweli mdomo uliponza kichwa
Unanikumbusha kipindi kile Kibadeni na Julio waliondoka tukiwa nafasi ya kwanza halafu akaja Logarusic na kututupa hadi nafasi ya nne.
 
Unanikumbusha kipindi kile Kibadeni na Julio waliondoka tukiwa nafasi ya kwanza halafu akaja Logarusic na kututupa hadi nafasi ya nne.

unanikumbusha kandambili walimtimua jaja akiwa kafunga magoli 3 wamemleta mrwanda mpaka sasa kacheza mechi 7 ana magoli 0
 
unanikumbusha kandambili walimtimua jaja akiwa kafunga magoli 3 wamemleta mrwanda mpaka sasa kacheza mechi 7 ana magoli 0

Mechi ya 8 kaleta pointi 3. Ninyi mlimtimua Tambwe aliyekuwa mfungaji bora mkamleta Simon Sserunkuma ambaye hajafunga bao hata moja hadi sasa.

CC. Amavubi & Co. PLC.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom