Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Yanga Princess wameibuka mabingwa wa Samia Women’s Super Cup 2025 baada ya kuichapa JKT Queens 3-0 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa katika Uwanja wa Aga Khan.
Timu hiyo ilionesha ubora wake tangu hatua za awali, ikitinga fainali kwa ushindi mnono wa 7-0 dhidi ya Fountain Gate Princess katika nusu fainali. JKT Queens, kwa upande wake, iliichapa Simba Queens 1-0 kufuzu fainali.
Soma, Pia: Ligi Kuu ya Wanawake yasimamishwa kupisha Samia Women Super Cup
Mechi ya kutafuta mshindi wa tatu ilitangulia fainali hiyo, huku Simba Queens na Fountain Gate Princess zikipambana kuwania nafasi hiyo ambapo Simba Queens wamemaliza nafasi ya tatu katika michuano ya Samia Women’s Super Cup
Soma, Pia: Ligi Kuu ya Wanawake yasimamishwa kupisha Samia Women Super Cup
Mechi ya kutafuta mshindi wa tatu ilitangulia fainali hiyo, huku Simba Queens na Fountain Gate Princess zikipambana kuwania nafasi hiyo ambapo Simba Queens wamemaliza nafasi ya tatu katika michuano ya Samia Women’s Super Cup