Yanga punguzeni sifa

Yanga punguzeni sifa

hydroxo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
3,553
Reaction score
7,334
Mimi ni simba damu na nakubali mlitupiga kono la nyani aka hamsa.

Ila sasa mnachokifanya ni sifa zilizopitiliza kuweni na utu na huruma japo kidogo.

Ndio nini kutuwekekea kono la nyani kwenye jezi zenu mpya.

Daah nilitaka kununua jezi zenu kwani ni kali balaa ila nilivyoona hamsa hamsa na makono ya nyani yamejazwa kwenye jezi nimegaili.
2024_07_28_02_12_35-1.jpg

#UBUNTU BOTHO

#GUVU MOYA.
 
Sindano hutoka ilipoingilia na hivyo ni vitenge.
 
Huku tuna Kono la nyani ✋! Upande wa pili kuna Sanda za marehemu!
 
Sindano hutoka ilipoingilia na hivyo ni vitenge.
Bora vitenge kuliko kujichulia kwa kuvaa sanda.

Au unasemaje mwanalunyasi mwenzangu?

#Mangungu Out.
 
Bora vitenge kuliko kujichulia kwa kuvaa sanda.

Au unasemaje mwanalunyasi mwenzangu?

#Mangungu Out.
Sanda kuna siku utaivaa tu ile yenyewe sio hii ya kulazimisha, ila kuvalishwa kitenge kama wanawake wanaovunja kikoba mmepatikana.
 
Back
Top Bottom