ili tumalizie kabisa ile shughuli sahivi tunapiga kwenye mshono sanda washavaa hatusafirishi...😂Tukutane tar 8 mkuu
Hapana mkuuNa wewe ni timu sanda kama mimi mkuu?
sanda -landMkuu kuwa na huruma basi.
Daah sanda si wanavalishwa maiti wakitaka kuzikwa?
Sanda kuna siku utaivaa tu ile yenyewe sio hii ya kulazimisha, ila kuvalishwa kitenge kama wanawake wanaovunja kikoba mmepatikana.Bora vitenge kuliko kujichulia kwa kuvaa sanda.
Au unasemaje mwanalunyasi mwenzangu?
#Mangungu Out.