rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Baada ya utopolo wanaume , leo ni zamu ya yanga queen mpaka sasa wamefungwa mbili bila na mchezaji wao mmoja kapewa red card kwa kudaka mpira makusudi.
Tayari goli tatu.
Full time 3-0 tumeshuhudia pira biriani kwa dada zetu
Tayari goli tatu.
Full time 3-0 tumeshuhudia pira biriani kwa dada zetu