Yanga Queens mpaka sasa wamefungwa mbili bila

Yanga Queens mpaka sasa wamefungwa mbili bila

Simba 3-0 hadi Sasa, yaani hawa Yanga princess wanacheza Kama kikundi cha wahuni tu uwanjani Kama walivyo Kaka zao kina Sarpong.

Hawa wadada wa Simba wanacheza mpira mzuri saana, kiukweli soka la wanawake limebadilika sana kwa wanao tazama huu mchezo basi wanapata burudani ya kutosha kabisa.

Ball control ipo juu, wadada wapo imara hawaanguki ovyo Kama vile vituko tulivyo vizoea hapa ni tofauti kabisa, wanapiga pasi zinafika, wanakimbia na mipira vizuri sana.

Kubwa zaidi nimependa sana jinsi walivyo na nguvu za miguu wanapiga mashuti hawa wadada balaa, makombora wanayo piga huwezi amini Kama limetoka kwenye mguu wa mwanamke.

Hongera kwa kocha Mussa H Mgosi kazi yako nimeiona.
Maveteran tulicheza na timu ya wanawake ni vibinti vina misuli hatari halafu jicho nyanya basi baada ya dakika 10 niliona nisijishushie heshima ilipigwa ndefu nikaituliza halafu nikakaa chini nimeshika goti kwa nyuma huku nagalagala nazuga nimeumia siwezi kuendelea na mechi nikatoka nje. Waliobaki walipekekwa ulimi njee.. mtoto anaweka upaja unapaa kulee .. tulipigwa 4-1
 
Maveteran tulicheza na timu ya wanawake ni vibinti vina misuli hatari halafu jicho nyanya basi baada ya dakika 10 niliona nisijishushie heshima ilipigwa ndefu nikaituliza halafu nikakaa chini nimeshika goti kwa nyuma huku nagalagala nazuga nimeumia siwezi kuendelea na mechi nikatoka nje. Waliobaki walipekekwa ulimi njee.. mtoto anaweka upaja unapaa kulee .. tulipigwa 4-1
Kwikwikwi
 
Ni heri mara 100 Mwanahamisi Gaucho au yule OPA mfungaji bora wa ligi yao kuliko Sarpong au Nchimbi. Striker gani hufungi mpaka penalty tu?
 
Vipi huyu striker hatari bibi yake Sarpong alikuwepo?
FB_IMG_1614998796651.jpg
 
Back
Top Bottom