Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Yanga ni ile ile tu,Baada ya utopolo wanaume , leo ni zamu ya yanga queen mpaka sasa wamefungwa mbili bila na mchezaji wao mmoja kapewa red card kwa kudaka mpira makusudi
Tayari goli tatu
Full time 3-0 tumeshuhudia pira biriani kwa dada zetu
Hata Yanga Queens nao wana Sarpong wao vilevile.