Yanga ni ile ile tu,Baada ya utopolo wanaume , leo ni zamu ya yanga queen mpaka sasa wamefungwa mbili bila na mchezaji wao mmoja kapewa red card kwa kudaka mpira makusudi
Tayari goli tatu
Full time 3-0 tumeshuhudia pira biriani kwa dada zetu
Tutawaachia cha MapinduziFT Simba 3-0 Yanga.
Vikombe vyote msimbazi msimu huu.
Hata yenyewe ikikutana na simba itapigwa tu
Maveteran tulicheza na timu ya wanawake ni vibinti vina misuli hatari halafu jicho nyanya basi baada ya dakika 10 niliona nisijishushie heshima ilipigwa ndefu nikaituliza halafu nikakaa chini nimeshika goti kwa nyuma huku nagalagala nazuga nimeumia siwezi kuendelea na mechi nikatoka nje. Waliobaki walipekekwa ulimi njee.. mtoto anaweka upaja unapaa kulee .. tulipigwa 4-1Simba 3-0 hadi Sasa, yaani hawa Yanga princess wanacheza Kama kikundi cha wahuni tu uwanjani Kama walivyo Kaka zao kina Sarpong.
Hawa wadada wa Simba wanacheza mpira mzuri saana, kiukweli soka la wanawake limebadilika sana kwa wanao tazama huu mchezo basi wanapata burudani ya kutosha kabisa.
Ball control ipo juu, wadada wapo imara hawaanguki ovyo Kama vile vituko tulivyo vizoea hapa ni tofauti kabisa, wanapiga pasi zinafika, wanakimbia na mipira vizuri sana.
Kubwa zaidi nimependa sana jinsi walivyo na nguvu za miguu wanapiga mashuti hawa wadada balaa, makombora wanayo piga huwezi amini Kama limetoka kwenye mguu wa mwanamke.
Hongera kwa kocha Mussa H Mgosi kazi yako nimeiona.
KwikwikwiMaveteran tulicheza na timu ya wanawake ni vibinti vina misuli hatari halafu jicho nyanya basi baada ya dakika 10 niliona nisijishushie heshima ilipigwa ndefu nikaituliza halafu nikakaa chini nimeshika goti kwa nyuma huku nagalagala nazuga nimeumia siwezi kuendelea na mechi nikatoka nje. Waliobaki walipekekwa ulimi njee.. mtoto anaweka upaja unapaa kulee .. tulipigwa 4-1
Heee huko ndo unawatakia ubaya.. umemsahau MwakinyoEwaaaaaa.
hii ndio coment makini.
Yalifika mpaka 10+na wasipojipanga vyema hawa Yanga kipindi cha pili wanaenda kupokea magoli ya kutosha.. huenda yakafika magoli 5+
Daaaaaah hiki kitasa hatari, ka kina miaka 70Vipi huyu striker hatari bibi yake Sarpong alikuwepo?
View attachment 1718314
Huyu Dada anahishi mwananyamala umri umemtupa mkono kwakweli apumzike tuVipi huyu striker hatari bibi yake Sarpong alikuwepo?
View attachment 1718314