Yanga rekebisheni haya Mambo matatu walau mtafaidika kimataifa

Yanga Ina wachezaji Ila Haina timu ukiwa mtu wa mpira utanielewa Ila usipokuwa mtu wa mpira huwezi kuelewa pamoja kwamba timu Ina madhaifu mengi nyuma Kama mwamnyeto Na Job lkn bado unaweza ukascore goli nyingi Ila Sasa Ni ubinafsi wa wachezaji ndo unawagharimu hili naona watu wengi hawalizungmzii kabisa sijui shida Ni Nini

Wao wanasema lazima tuteteme hata Kama siku hyo imegoma hii Ni tatzo anakuwa mbinafsi hii itawacost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…