Yanga sasa hivi hawawezi kusafiri km 50 ardhini,ni mwendo wa mwewe tu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Haya maisha bhana
Timu tajiri nchini juzi juzi ikicheza na timu ya Nkana waliingia uwanjani na basi la abood baada ya basi lao kupata ajali na kuharibika ambapo mpaka mida hii wameshindwa kulikomboa gereji.
Lakini timu inayosemekana kulia njaa mpaka sasa hivi msimu huu hawajawahi kutembea zaidi ya km 50 ardhini, Mbeya wamekwea pipa Mwanza pipa, Shinyanga pipa, kama Chamazi kuna uwanja basi tutegemee pipa, Ruvu shooting kama mna uwanja basi mjianda kupokea ndege, hata kwenye uwanja wao mpya wa mazoezi nasikia watajenga uwanja mdogo wa ndege .
Hii ndio maana ya timu ya wananchi
 
wakati mnafurahia kupanda ndege kuna mchezaji wenu mmoja amewazimia simu kutokana na kutolipwa mshahara bado yupo kongo
 
Vyura bana, sasa kutoka Dar kwenda Mby kwa mwewe mnaona big deal, mngekuwa mnaenda kukutana na mafarao huko ingekuwaje? Naona mnajifariji.
 
Nguvu ya umma haiwezi kushindwa,never ever......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…