Goal kickungeacha TU huu mtindo wako hauvutii.
Hicho ni kinyongo tayari kimeshawekwa [emoji23]Wakati na sisi kuna penati yetu alipeta
Kiroho zaidi[emoji1752][emoji1545]Huyu kipa wa Club Africain kavaa jezi namba 23
Ukijumlisha 5 tu unampata Manula, ndio maana amekuwa anadaka vizuri