OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hahahaha naskia kaja na begi na Ali libeba Morrison kutokea kwake.Mpira ukiisha ili kuokoa gharama Nabi aombe lift kabisa kwa masela asepe nao.
😜😜😜😜 nilihisi tu hii ni chaiChai ndo nn me mtunisia 😂
Maweleeeeeeeee[emoji16]Mayeleeeeeeeeeeeeeee
Mpira umetoka
Bado tuuuuu ha haMaweleeeeeeeee[emoji16]
Mbona sisi mashabiki wao hatulalamikii uchezaji wao, nyinyi kinauma nini? Nyinyi fungeni magoli, hayo maswala ya team yetu kupoteza muda yalitakiwa yatuume sisi mashabiki wa Africain na sio nyinyi.Hawa african ni mabingwa wa kupoteza muda duniani
😜😜Goaaaaaaaaal kick
Uto
Waende ila wapande bolt wasipande ndege ...ndege Ni uhujum uchumi wa timuHao wanaoingia ni hatari. Yanga isiharibu nauli kwenda Tunisia
Manula akikusikia atakusonya.Yanga mmesajili majina makubwa tu ila kiuhalisia hao wachezaji hawawezi kuyafanya waliyoyafanya zamani ndiomaana huko walitemwa.
Ila ndohivyo ukweli hamuwezi kuukubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Morrison katepeta, Kocha kama unamchezaji wa akiba fanya sub mapema
Anapoteza mipira mingi na bado anataka kuonesha ustaaa