Fambafu sako kijana😆Kazeni matako nyie utopolo... Huo mwiko huko nyuma leo mjitahidi muuchomoe mshinde...
Kama utani Btoz anaweza kuondoka ujue.. Anyway ngoja tushuhudie mtani akitokwa jasho na damu na machoziSamia anatakiwa kuachia madaraka. Anapata hela za kisherehekea sensa,badala ya kushughulika na janga la umeme
0-1Natamani watani washinde, lakini tatizo bado wana makamasi, hii michuano ya mikubwa hawaiwezi.
Natabiri ushindi kwa Yanga 0-0.