Yanga Sc 1 Vs 1 Township Rollers

Yanga Sc 1 Vs 1 Township Rollers

huyu dem anajua kutiana balaa!!!!
yaa.jpg
Kama huyu?
 
Kwanza mpira yanga tumecheza tofauti na msimu uliopita. Unajuwa ushabiki tuweke pembeni ila timu yenye 80% ya wachezaji wapya first eleven alafu kila siku unaona mabadiliko postive kwenye timu yako why shouldn't u be happy? Muimu mechi ya marejeano nyie mikia kuweni makini vinginevyo mtafungwa mpaka mfe.

Doh 🤣🤣🤣🤣
 
Wekeni akiba ya maneno mikia....

Soko la bongo ndo uwezo wetu huo.
 
Mm nasema tena ni yanga damu ila mpira tumecheza kadili ya uwezo wetu. Mpira wa wenu Simba nimeuona hakuna timu pale, wale wenzenu walikuwa sirious ila nyie mnalukaluka uwanjani. To me bora yanga imecheza mpira wa kuliko nyie mliokwenda kupiga tizi kwenye viwanja vya watu.
 
Mm nasema tena ni yanga damu ila mpira tumecheza kadili ya uwezo wetu. Mpira wa wenu Simba nimeuona hakuna timu pale, wale wenzenu walikuwa sirious ila nyie mnalukaluka uwanjani. To me bora yanga imecheza mpira wa kuliko nyie mliokwenda kupiga tizi kwenye viwanja vya watu.
Si wapo ugenini ndo maana wamecheza hivyo?au we ulitaka wafungunge wale 5 Kama za msimu uliopita.
 
Back
Top Bottom