Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kivumbi kingine kwa timu ya Wananchi Yanga SC katika ligi kuu ya NBC leo tena kuondoka na alama tatu?
🏆 NBC Premierleague
⚽️ Young Africans SC🆚JKT Tanzania
📆 22.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeanza karibu kupata burudani ya soka
Dakika, 36 mpira bado unakasi sana
Dakika,41 mchezaji wa JKT anapata kadi nyekundu.
Dakika, 44 Goooool Yanga wanapata goli la pili.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika Yanga wanatoka kifua mbele.
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeshaanza.
Dakika,54 Yanga wapo kwenye umiliki wa mpira.
Dakika,59 Yanga wametengeneza nafasi mbili za kufunga ila wameshindwa kuzitumia.
Dakika,67 Yanga wameendelea kupeleka pumzi ya moto JKT.
Dakika,70 Aziz Ki anakosa goli la wazi kabisa.
Dakika,73 Yanga wanafanya mabadiliko anaingia Baleke anatoka Chama pia anatoka Job anaingia Yao.
Dakika,83 JKT wamekuwa watulivu wanaumiliki mpira sasa.
Full Time Yanga wanaondoka na alama 3
🏆 NBC Premierleague
⚽️ Young Africans SC🆚JKT Tanzania
📆 22.10.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeanza karibu kupata burudani ya soka
Dakika, 36 mpira bado unakasi sana
Dakika,41 mchezaji wa JKT anapata kadi nyekundu.
Dakika, 44 Goooool Yanga wanapata goli la pili.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika Yanga wanatoka kifua mbele.
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeshaanza.
Dakika,54 Yanga wapo kwenye umiliki wa mpira.
Dakika,59 Yanga wametengeneza nafasi mbili za kufunga ila wameshindwa kuzitumia.
Dakika,67 Yanga wameendelea kupeleka pumzi ya moto JKT.
Dakika,70 Aziz Ki anakosa goli la wazi kabisa.
Dakika,73 Yanga wanafanya mabadiliko anaingia Baleke anatoka Chama pia anatoka Job anaingia Yao.
Dakika,83 JKT wamekuwa watulivu wanaumiliki mpira sasa.
Full Time Yanga wanaondoka na alama 3