Yanga sc 3-1 Ruvu shooting | ligi kuu | Benjamin Mkapa

Nawakumbusha timu ya Namungo haina wachezaji watoto kiumri kama wale Coastal union

Abdulaziz Makame
Obrey chirwa
Lucas kikoti
Reliants Lusajo
Blaise Bigirimana
Shiza kichuya
Haruna shamte
David Molinga "Falcao"
Sixtus sabilo
Baraka Mtuwi
Jonathan Nahimana(Golie wa viwango huyu)

Wanangu wa Namungo kesho naomba sare tu
 
Acha porojo tuoneshe hapa refa anahusikaje? Mnaweweseka sana kama yatima wa Magufuli.
 

Attachments

  • 1635882586569.mp4
    2.4 MB
penati walopewa uto kitaalam inaitwa MWENYE NACHO HUONGEZEWA
 
Mlezi wa Namungo, Bwana Qasim anasemaje kuhusu Simba yake? Tuanzie hapo kwanza
 
Kwamba timu iliyoshinda 3 kwa 1 na kuzoa point zote 3 na timu iliyotoka droo ya 0 kwa 0 na kuambulia point 1 kwamba hii kwako ni sifa?

Brother wahi Milembe wakakucheck afya ya akili, this is not normal, ni mental case.
Kwa hiyo kwako uto 3-1 ni sawa na 3-0? this is not normal, ni mental case
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…