Yani upungufu wa wachezaji wa ruvu haukuwaridhisha yanga kuwa na hakika wa kushinda mechi so ikawabidi watumie mapumziko kufanya mapatano ya bei na refaNa penalty tena? Mshindwe nyinyi tu.
Hii ingekuwa ni ya Simba ungesikia swala la mbeleko ππ
kumi na tatu, mwingine yuko kwenye benchi ya ruvuYanga imeingia uwanjani na wachezaji kumi na mbili, mmoja kavaa sare za refa
Afu yanga siwaoniRefa hii penati kachemka
Kwasababu unaona kabisa bila refa hapa msingekuwa mnaongoza.Daah game ya leo si enjoy aise
Ila sisi tulipowambia mrejee maamzi ya penalty katika mechi ya Beyern ambayo yalifanana moja kwa moja na yale ya mechi ya Simba, hamkutaka kabisa kuelewa.Angalia match ya Manchester City vs Crystal Palace red card ya Ayemeric Laporte inafanana na hii.
idadi ya wachezajikumi na tatu, mwingine yuko kwenye benchi ya ruvu
Unateseka ukiwa wapiYanga imeingia uwanjani na wachezaji kumi na mbili, mmoja kavaa sare za refa
Hiyo team wanaikuza sana, ila ni ya kawaida sana.Ni swala la muda tu.Yani upungufu wa wachezaji wa ruvu haukuwaridhisha yanga kuwa na hakika wa kushinda mechi so ikawabidi watumie mapumziko kufanya mapatano ya bei na refa
Kwasababu unaona kabisa bila refa hapa msingekuwa mnaongoza.
Beyern ndio timu ganiIla sisi tulipowambia mrejee maamzi ya penalty katika mechi ya Beyern ambayo yalifanana moja kwa moja na yale ya mechi ya Simba, hamkutaka kabisa kuelewa.
Mkuki kwa Simba, kwa Yanga ni mchungu[emoji23][emoji23].
Ukiwa na mpira halafu halafu ukawa umekosa balansi ya kuwatoka walinzi na mbele yako kuna beki wa timu yako ambaye yuko katika position ya kufunga, utakubali kuucheza peke yako mpira ambao mwisho wa siku utaupoteza au utatoa assist kwa beki afunge?Basi kama ni hivyo basi Mayele anafanya kazi sahihi sijaona mantiki ya Scars kusema n8 mchoyo
Sasa jamaa anachokifanya ni kukomaa, hataki kutoa assist anataka akuze CV ionekane kila mechi kafungaKufunga & assist
ligi bado ,baiskeli ya miti hiyoSasa jamaa anachokifanya ni kukomaa, hataki kutoa assist anataka akuze CV ionekane kila mechi kafunga
Uta enjoy tu, ngoja refa afunge lingineDaah game ya leo si enjoy aise
Biriani imekuwa burianiYanga A vs Yanga B
Mechi hata hainogi kabisa