Tuliza nembe mama dawa iingie vzrTutaachaje kuwa na viporo wakati tuna majukumu makubwa ya Kitaifa mabegani mwetu? Msio na majukumu malizeni kabisa mechi zenu,sie tutakuja kufunga hesabu za mwisho wa msimu.
Endelea Kujifariji Tu, ila Kitakachowakuta This Time Hamtaamini Kudadeki Zenu..Yanga Mlisha Mfunga Dodoma Goli 3 na Ubingwa Hamkuchukua
.Draw. Trust me.
Hoja ya kishamba sana, ulaya man city, liva wanacheza zaidi ya mashindano 4 na hana viporo kuepuka kupanga matokeo bongo mashindano ya shirikisho mtu anakuwa na viporo 10+ na kombe habebi wala nusu hafikiTutaachaje kuwa na viporo wakati tuna majukumu makubwa ya Kitaifa mabegani mwetu? Msio na majukumu malizeni kabisa mechi zenu,sie tutakuja kufunga hesabu za mwisho wa msimu.
Kitimoto atakuua hahahaha
We jamaa n noooooumerHii mechi inaweza kuisha huku ball possession ikiwa 80% kwa yanga na 20% kwa Dodoma Jiji.