Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto endeleeni kutocheza away games kama mnavyofanya kila msimu
Wewe ndiye unayetokwa na povu kufungwa afungwe Dodoma FC, kuumia una umia ww shabiki wa Simba. Nyie subirini viporo vyenu vya kununua mnavyo tengenezewa na baba yenu TFF.Wewe tokwa povu tu,mwisho wa msimu ndiyo utajua haujui
Mtanuna sana msimu huu msumari wa nne huo. Nyie endeleeni kusubiri viporo vyenu vya kutengenezewa na TFF ili mvinunue.
Hivi nyie Makolo mna matatizo gani? Mbona ufadhili wa Azam hamuusemi?! Haya sasa; Makolo mliugomea ufadhili! Mbona Ngao ya Jamii mlitandikwa na Ligi Kuu mkatoka sare kisha mkashangilia siku mzima?! Azam na yeye ina maana alitandikwa kwa sababu ya GSM kudhamini ligi?Ushindi wa YANGA mwaka huu ungekuwa na TASTE kama GSM asingekuwa mfadhili wa LIGI..
Endelea kupata burudani kutoka kwa Yanga,endelea kukalili ila shangai mnavipigia hesabu viporo sababu si mnafungu kwa ajili ya hivyo viporo, ila sisi ndio hatupoi.Uto mbona tushawazoea,si unaona ushaanza kutokwa povu.Unakumbuka kile kipindi mko na points 12 clear mnaongoza ligi?
Wewe ndiye unayetokwa na povu kufungwa afungwe Dodoma FC, kuumia una umia ww shabiki wa Simba. Nyie subirini viporo vyenu vya kununua mnavyo tengenezewa na baba yenu TFF.
Msimu huu viporo havitalika kwa faidaTutaachaje kuwa na viporo wakati tuna majukumu makubwa ya Kitaifa mabegani mwetu? Msio na majukumu malizeni kabisa mechi zenu,sie tutakuja kufunga hesabu za mwisho wa msimu.
Msimu huu viporo havitalika kwa faida
Una majukumu gani una mechi Dar na umekaa zaidi ya siku 8 hujacheza mechi yoyote, tushawazoea na TFF yenu kila msimu viporo mnatengenezewa nyinyi.Tutaachaje kuwa na viporo wakati tuna majukumu makubwa ya Kitaifa mabegani mwetu? Msio na majukumu malizeni kabisa mechi zenu,sie tutakuja kufunga hesabu za mwisho wa msimu.
Sawa mkuu kila la kheri gem ya kesho na azamTusubiri mwisho wa msimu
Acha kutukatisha tamaaYanga Mlisha Mfunga Dodoma Goli 3 na Ubingwa Hamkuchukua
Tutaachaje kuwa na viporo wakati tuna majukumu makubwa ya Kitaifa mabegani mwetu? Msio na majukumu malizeni kabisa mechi zenu,sie tutakuja kufunga hesabu za mwisho wa msimu.