joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Endeleni na tabia yenu ya kujitengenezea viporo ila sisi ndio hatupoi na wala hatuboi Moloko anapiga msumari wa pili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mashabiki wengi wa Simba hawajui sheria ya offside akili yenu inawaza mtu akiwa peke yake ni offside. Nafasi aliyosimama Mayele na na mpigaji wa cross, mpiga cross ndiye aliyekuwa mbele kuliko Mayele.
Wewe kolo acha makasiriko... tulia hao bwana zako dodoma jiji tuwashikishe adabuMpuuzi mkubwa wewe,unashindwa kubaki kwenye maswala ya mpira unaniattack mimi,Mwanaume wa design hii ni ovyo tu,na wewe kati ya Wanaume unajiona mwanaume sasa.Pita hivi kwa comment zangu.Idiot.
Simba tukifungwa ama kudraw kesho, hii safari itakua ngumu sana
Walishawahi kuongoza kwa point 12 lakini mwisho wa msimu sote tunajua kilichotokea.Hatuna pressure kabisa,tunawaza kwanza jinsi gani tutatinga robo fainali ya CC,Team kubwa huwa inawaza mambo makubwa tu .
Sawa endelea kuwa mpenzi wa timu badala ya kuwa mpenzi wa mpira. Hata sheria ndogo tu ya offside inakupiga chenga.Teh teh Mkuu nakwambia hii mbeleko inawapa unafuu tu wa kujisikia mpo vizuri,lakini ki uhalisia bado sana.Ni swala la muda tu mbona.
Wewe kolo acha makasiriko... tulia hao bwana zako dodoma jiji tuwashikishe adabu
Wakati huo tofauti ya michezo ilikuwa mingapi, na hivi sasa tofauti ya michezo ni mingapi?!Walishawahi kuongoza kwa point 12 lakini mwisho wa msimu sote tunajua kilichotokea.Hatuna pressure kabisa,tunawaza kwanza jinsi gani tutatinga robo fainali ya CC,Team kubwa huwa inawaza mambo makubwa tu .
Ila Tanesco hawatutendei haki umeme wanakatakata mnodah! umeme umekatika, acha na mimi sasa nisubiri kusimuliwa humu [emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]... mkuu hata ningekuwa mimi ningesema km hivi maana kwa Yanga hii kabumbu inalotandaza kuichukia ni kujipa presha buredah! umeme umekatika, acha na mimi sasa nisubiri kusimuliwa humu [emoji23]
Malengo ya simba ni club bingwa huko, dirisha dogo isajili wachezaji wazuri watakaoiwezesha timu kutoboa makundiSimba tukifungwa ama kudraw kesho, hii safari itakua ngumu sana
Mtapata tabu msimu huu na wimbo wenu wa kubebwa, endeleeni kutengenezewa viporo na TFF yenu kama wanavyo wafanyia kila msimu.Huku kubebwa hakuwasaidii kitu,ni sawa na Mwanafunzi kufaulu kwa kupewa mtihani na majibu yake kabla.Mbivu na mbichi zinaonekana mkienda Kimataifa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Simba tukifungwa ama kudraw kesho, hii safari itakua ngumu sana
Kikubwa zaidi, Yanga Hawatupi Pressure
Mbona kama Simba haina mpango wa kusajiri kabisa dirisha dogo ??Malengo ya simba ni club bingwa huko, dirisha dogo isajili wachezaji wazuri watakaoiwezesha timu kutoboa makundi
Endelea kukalili na TFF yenu inayo watengenezea viporo kila msimu.Walishawahi kuongoza kwa point 12 lakini mwisho wa msimu sote tunajua kilichotokea.Hatuna pressure kabisa,tunawaza kwanza jinsi gani tutatinga robo fainali ya CC,Team kubwa huwa inawaza mambo makubwa tu .